Recent content by Kayuga De King

  1. K

    Hofu Kuu ya Wana CCM

    Jamani kama Wenye ccm wenyewe wamekili chama kuanguka thats y ad leo wanakwambia wanajenga chama. Yaani kifupi CCM iliyokua nyumba ya zege leo imekua kichuguu cha mchwa kilicho jengwa katikat ya bahari baada ya bahari kupwa. Haya sasa Maji ndo ayo yanakuja 2015.(CHADEMA Vunjaaaaaaaaaaaaaa Mchwa...
  2. K

    Soko la mayai ya kienyeji

    Mwenzenu nauliza wpi nitapata mayai ya kienyeji kwa bei ya jumla ikiwa mimi nipo Mwanza?
Back
Top Bottom