Mambo vipi wakuu?
Natumia simu ya Nokia 6.1 Android, nimenunua mwaka jana mwezi July. Kwanza Imeanza tatizo kwenye speaker, nikicheza video au audio kwa sauti kubwa inakwama kwama mpaka nipunguze sauti ndo naskia vizuri. Sasa limeibuka tatizo lingine charge inaingia slow sana na wakati mwingine...
Msaada kwenye tuta jamani. Simu yangu hapokei data kutoka mitandao ya kijamii niliyo nayo (whatsapp, facebook, instagram na twitter) lakini Google na YouTube zinafanya kazi kama kawaida hata nikibadilisha line nyingine yenye bundle. Nikiunganisha hotspots na simu nyingine napata huduma Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.