Recent content by kayj

  1. K

    Hivi wakinadada hii ni kama asili yenu?

    Hee we kaka wa ajabu:embarrassed: yaani vocha tu unalalamika ulitaka amwombe nani ikiwa we ndo wa ubavu wake? Huo ndo wajibu wako wala huhitaji kuombwa kaka; wenzio hununua hadi gari nini vocha acha ujinga wewe PUMBAFU
  2. K

    Tatizo la miguu kuwaka moto (neuropathy): Ushauri, Kinga na Tiba

    Ni uzito tu unaosababisha hayo nilikuwa na tatizo hilo wakati huo nilikuwa na kg. 83 kwa sasa nimepungua uzito nina kilo 76 tatizo limekwisha kabisa. Hivyo nakushauri fanya mazoezi ya kupunguza uzito tu tatizo litakwisha.
  3. K

    Mara tatu mfululizo nimetendwa......naapa sitapenda tena

    nawe umezidi, ndani ya wiki tu tayari ushamwamini mtu na kumuachia nyumba? watu huchunguza zaidi ya miezi sita ili kumfahamu vyema mwenzio kitabia si kukurupuka.:A S 11:
  4. K

    Msaada namna ya kutoa mimba bila kupata madhara kiafya

    usitoe ni hatari;  nina miaka zaidi ya mitano sasa natafuta mimba siipati. wewe unataka kutoa? mungu atakulaani na usipate tena maisha yako yote. acha kabisa 
  5. K

    Hujafa hii dunia hujaumbika jaman

    aende foreplan clinic zipo dawa za kuyeyusha uvimbe bila kufanyiwa operation nina ushahidi
  6. K

    Rafiki yangu yamemkuta anahitaji ushauri

    kwel kabisa acha yamkute pumbavu
  7. K

    Madaktari na wana ndoa naombeni msaada

    nenda hosp. ukawaone wataalam wa afya upatiwe tiba ndugu............
Back
Top Bottom