kwa sasa inavyonunuliwa kwa kasi soon zitapanda bei kutok hyo 17-19M utashangaa zinafika 21 na kuendlea kama bei zilivyopanda kwa Dualis & forester mwanzon wakat zinaanza kununuliwa Tanzania bei ipo chini kulinganisha na sasa
Wakuu nataman kujua kati ya hizi gari mbili ni gari ipi ya kuishi nayo in terms of
.perfomance
.durability
.reliability
.efficienty in terms of wese
na mazagazaga mengine
ila kwenye price naona kam hazitofautiani sana
TBS kiasi gani – TZS 350,000
TPA – USD 7.00 per CBM
Corridor Levy – USD 0.30 per CBM
shipping line fee – up to USD 45.00
CFA – TZS 200,000
Registration inalipiwa pamoja na ushuru, plate ni 28,000 mpaka 35,000
Katika mfululizo wa makala za bandari, leo tunakuletea utaratibu unaotumika kuhudumia shehena ya magari hatua kwa hatua katika bandari za TPA, kuanzia meli inapoingia bandarini, gari linavyoteremshwa kutoka melini na linavyopokewa bandarini, gari linavyotoka bandarini hadi mteja kukabidhiwa gari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.