Recent content by Kaybs

  1. K

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Ona Sam Sasali alivyopàmbana na Kafulila TVs zikiwa Live " Hizo namba za ukuaji wa uchumi zinafaida gani kwa mwananchi wa kawaida?"

    Ki-uhalisia angetuambia je mwananchi wa kawaida hasa wakulima vijijini wanaweza kupata fursa ya mikopo kwenye hizi bank zetu za hapa ndani? Wataifikia vipi hiyo 10% bila kupata fursa za kifedha? Au atuambie mpaka Sasa hivi tuna VSLA ngapi nchi nzima? Tulitakuwa tuone namna gani ppp inawagusa...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Mke wa Mdude: Tusifiche na tusisingizie mtu, waliomchukua mume wangu ni Polisi. Polisi wa Tanzania wana roho mbaya sana

    Nadhani tufikie wakati tuanze kutumia kamera zile ndogondogo ili kubaini taswira
  3. K

    JamiiForums Tanzania Prof. Anna Tibaijuka: Mzozo wa kibiashara na Malawi, Pamoja na kuchokozwa kibao kitaigeukia Tanzania

    Wamekurupuka na maamuzi Sasa tukipigwa faini tuseme nini Sasa, au tunaishukuru Serikali kwa kulipa deni kwa maamuzi kama haya.
  4. K

    JamiiForums Tanzania HAKI ya kumpata Papa Mpya IPO wapi? Wanawake, Vijana & Wa-Afrika hawana Haki ya kuchaguliwa?

    Hiyo ni Taasisi ikiyokomaa tangu enzi hawawezi kumpa kijana au mwamke ulishawahi kuona father au padri mwanamke?
  5. K

    JamiiForums Tanzania Lisu kuwa gerezani chini ya serikali ya Mama Samia kunaweza kuleta Ufa kwenye Muungano!

    Mpaka siku tuitwe Tanganyika tutakaa sawa
  6. K

    JamiiForums Tanzania Wafahamu wanaoshindana na Profesa Janabi katika nafasi yake ya Ukurugenzi wa WHO Africa

    No 2 na 3 mmoja kati ya hao
  7. K

    JamiiForums Tanzania Huyu ndie Rais wa 2030 anayetafutwa

    Heche anatosha wamuandae
  8. K

    JamiiForums Tanzania Nimecheka sana hili bango nililoona hapa Korogwe mjini -Tanga

    Yaani hatujitambui bado
  9. K

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamo-Hanga na dereva wake wafariki dunia

    Umeelezea vizuri sana hapo, safari kama hiyo lazima iwe imeandaliwa kitu kinaitwa Journey Management Plan na watu wa logistics & safety wa Tanesco, swali la kujiuliza kwa nini asafiri usiku? Je gari limefungwa mfumo wa kudhibiti mwendokasi? Ni masaa mangapi gani gari la Serikali linaruhusiwa...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Wafahamu Wajumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi ya Tanzania. Tunaanza na Ramadhan Omari Mapuri

    Hii ni aibu tume Huru inatakiwa
  11. K

    JamiiForums Tanzania Nini hatima ya vijana wa taifa la Tanzania na matumizi ya pombe kali? Tujadili kidogo

    Hapa Kuna vitu vingi sana vya kuangalia, lakini yote inachangiwa na mfumo mbovu wa elimu vijana wengi wanakosa maarifa hivyo akili inashindwa kuchanganua vitu kwa haraka na wanaangalia njia rahisi ya kujipatia kipato hivyo wanaishia kucheza Kamari na wizi, lakini pia angalia burudani...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Bashe: Rais hataki utani, amedhamiria kuleta mapinduzi ya kilimo kupitia umwagiliaji

    Nakumbuka Waziri Kuna kipindi kwa bajeti zilizopita tulisema kuwa Serikali itachimba visima Kila wilaya kwa ajili ya umwagiliaji hili limeishia wapi?
  13. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Vijana Zaidi ya 30 wa Kikundi cha Urithi Wetu waanza safari kutoka Kigoma hadi Kizimkazi, Zanzibar, kuhamasisha upandaji miti

    Mngeanza na hili zoezi hapo hapo mlipo jazeni miti kwa wingi mtaonekana tu, Sasa mkifika Dar kwa kuwa mnatembea kwa miguu je pale mtapiga mbizi? Mimi Leo nimepanda miti ya matunda15 kesho 3, tumieni muda vizuri, pandeni miti mhanasishe watu mkiwa hapo hapo mkoani kwenu mtaonekana tu!
  14. K

    JamiiForums Tanzania Ubalozi Wa Saudi Arabia Nchini Tanzania Watoa Maelezo ya Kina juu ya Upotoshaji unaoendelea Mitandaoni

    Feb 25-2025 Kuna kitu hakipo sawa
  15. K

    JamiiForums Tanzania Mwandishi mkongwe Abdallah Majura, ahoji kuhusu redio kujadili michezo asubuhi

    Akili za vijana zinatakiwa kufanyiwa rehabilitation juu ya hii michezo 24hrs.
Back
Top Bottom