Recent content by kay22

  1. K

    Kigoma - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Nikweli kabisa mkuu......TICHA kapeta
  2. K

    UKAWA waiongezea gharama familia ya marehemu Makaidi kwa kuchelewesha maziko bila msaada

    Kilaza sina tena muda wa kujibizana na ww.....mpka hapa ushajipambanuana mwenyewe na wenye akili washakuelewa
  3. K

    UKAWA waiongezea gharama familia ya marehemu Makaidi kwa kuchelewesha maziko bila msaada

    Brother Hakuna kitu mungu asichopenda kama kuongopea hasa kuongopea or kuwazulia uongo wafiwa.....mm nipo hapa msibani sinza toka Juzi hizo habari sijui umezipata wapi,na sijui unazua ungo kwa faida ya nani?kwanini watanzania tupo hivi yani yani siasa inakutoa kabisa kwenye kuogopa na kujua kama...
  4. K

    Kutoka viwanja vya shule ya msingi Ruanda Nzovwe Mbeya, Mkutano wa Edward Lowassa

    Kamanda inaweza kubadili channel AZAM wako live hawana figisu figisu......
  5. K

    Kwenye kipindi hiki cha uchaguzi, ujinga ni?

    Hahahahah na kashaeleke kibla already....... Kazi kwako ngosha
  6. K

    Kwenye kipindi hiki cha uchaguzi, ujinga ni?

    Hahahahah wezi sana nyie.....nimewapenda
  7. K

    UKAWA hali tete

    Hahahahah mkuu kahadithi kako katamu.....kesho unaweza kuja na nyingine ya hivi hivi?? #mabadiliko2015
  8. K

    Maandamano ya CHADEMA ya Wafuasi wa Dr. Slaa Jijini Mwanza

    waliogopa kwenda ofisi za chama wangekula kipondo kama wenzao wa masaburi.....!!
  9. K

    TANESCO wamekata Umeme sehemu kubwa ya Nchi ya Tanzania, leo 29th Aug 2015

    nipo magomeni wallah wamekata umeme!!kwann lakin tanesco kutufanya kama na sisi hatuna haki na hii nchi??ni wazi muda wenu umeisha!!huu umeme unakatika ikiwa mikutano ya vyama vya upinzani tu??
  10. K

    Dk. Milton Makongoro Mahanga atangaza rasmi kujiunga CHADEMA

    poa tu....1 kwetu mtaji
  11. K

    TANESCO Yaomba kuongeza tena bei ya Umeme kwa 68%

    upo sahihi mkuu
Back
Top Bottom