Brother Hakuna kitu mungu asichopenda kama kuongopea hasa kuongopea or kuwazulia uongo wafiwa.....mm nipo hapa msibani sinza toka Juzi hizo habari sijui umezipata wapi,na sijui unazua ungo kwa faida ya nani?kwanini watanzania tupo hivi yani yani siasa inakutoa kabisa kwenye kuogopa na kujua kama...
nipo magomeni wallah wamekata umeme!!kwann lakin tanesco kutufanya kama na sisi hatuna haki na hii nchi??ni wazi muda wenu umeisha!!huu umeme unakatika ikiwa mikutano ya vyama vya upinzani tu??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.