Formula yako ya maisha ni nzuri ila ni ngumu kutekelezeka!!!, ila sijaona ukizungumzia suala la mahusiano ya kimapenzi hili nalo limekaaje? Cause linachukua asilimia kubwa kwenye maisha ya binadamu.
Sasa nimeamini Kuwa polisi imebadilika, kwa sasa tunaimani Na jeshi la polisi, kama ikibainika ni kweli ndio amehusika basi Na yeye ahukumiwe sawasawa Na makosa yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.