Kwenye kupenda vya bure hamjambo...ndomaana mnapiddy-iwa Sana machokonizers wakubwa nyie!
Unakuta kijitu kizima na hakina ulemavu kinaomba hela kama kingese vile
Acha uongo mkuu, mm nafanya biashara zangu huku Mwanza, mbona Tangazo lilibandikwa Kwenye Ofisi ya Katibu Kata nadhan wanamuita Mtendaji Kata sijui Afisa Mtendaji Kata...
Samia nampenda sana Samia namkubali sana Samia ni Mama wa Taifa Samia tumuunge mkono jmn!
Nipo Kitambaa cheupe mpya Mbagala aisée watu wanakula bata kinomanoma *****!
Lazima nitafute chumba huku Dar!
Dah! Mnaojenga Dar nyie wanaume..
Samia....Mitano tena!
Mnyantuzu safarini kuelekea Kibololoni
Masikini ya Mungu!
Mtu kama huyu ukute anashida na ada ya Shule au kaishia darasa la tatu.
Anateuliwa mtu wako unashangilia lkn huna unachofaidi hata ukitaka kuonana naye humpati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.