Naomba mnisaidie kitu wakuu,
Hivi mfano mwanamke alikuwa mjamzito akanywa midawa ikamfanya damu zitoke na kukata, ndani ya mwezi damu zimetoka na kukata mara nne akaja tena akatumia Duphastone zile dawa za kuzuia mimba isitoke lakini damu zikawa zinatoka na kukata ila sio nyingi kama mwanzo, je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.