Nadhani walioko bungeni wametawaliwa na nidhamu ya uoga, kwani wanajeshi si watanzania? Nani kawazuia kuchukua nchi hii, ni ccm? Ntakuwa na uwalakini nao kama watashindwa kuchukua nchi ktk kipindi hiki ambacho maoni ya wananchi yanapotoshwa, huku wakijidai kuwa ni walinzi wa wananchi wa...
Mkombozix100! Akili ya ajabu ya wenye div.5. Je bila nyerere Tanzania isingekuwa huru? Je mawazo ya akina mkwawa na watemi wengine yako wapi? Lazima tuwe na mawazo huru tusikubali kuwekwa ndani ya kapu la akili ya mtu fulani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.