Recent content by KateMiddleton

  1. KateMiddleton

    Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

    Kuolewa haimaanishi anampenda sana huyo jamaa Ni vile jamaa alitangaza ndoa Ss mtu asitoke na ampendaye badae?
  2. KateMiddleton

    Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Subiri siku 3 af ndo ujibu Ubay....
  3. KateMiddleton

    Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Sasa umeiva binti Enjoy life
  4. KateMiddleton

    Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Wa malengo hutamjua Watu hubadilika hata kama kuna cheti
  5. KateMiddleton

    Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Hili nalo ni sahihi kabisa Na kupenda kweli kunatokea kwa nadra sana Maybe once in 5 yrs
  6. KateMiddleton

    Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Chaap sana Usijiapize kumuacha mtu na bado unampenda utateseka Kimya tu
  7. KateMiddleton

    Nimeishi na mwanamke miaka mitatu bila kupata mtoto, nifanyaje

    Em jazia nyama hapo kwenye ujanani ushatia sana watu mimba Hizo mimba nini kilihappen?ni ngapi? Unalea? Hao babymama?wana hali gani?
  8. KateMiddleton

    Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Tafuta jamaa mwingine wa backup Huyo kama unampenda usiage wala nini mtaja endelea siku akianza kuongea
  9. KateMiddleton

    Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Two avoidants can never sustain a rlship Na ndio wengi wako dating market Mana kila leo wanaanza moja na wataachana hadi Yesu anarudi
  10. KateMiddleton

    Ulikutana wapi na mwenza wako kwa mara ya kwanza?

    Eh hongereni naona watu imeishia washakua mke na mume Mie huyu bwn haahha dahh maisha safari nyie Mungu atusaidie mana hadi sasa siamini kwa kuwa nilikuwa napinga sana kutoka na rafiki wa Bwana'ako Ila ndo niko nae saivi Nilikuwa katika husiano bora liende tu kusogeza siku na kaka mmoja hv...
  11. KateMiddleton

    Mnaofunga ndoa na watu ambao mmepishana umri kwa zaidi ya miaka kumi huwa mnaongea mnapokuwa chumbani?

    Mtu ambaye nimewahi kuongea nae mara nyingi sana katika mahusiano kwa simu,videocall,sms na private times tukiwa wawili kanizidi miaka 22 Dunia ni zaidi ya uijuavyo
Back
Top Bottom