Recent content by KateMiddleton

  1. KateMiddleton

    JamiiForums Tanzania Nini maana ya ngozi 'Ku glow'?

    Ni neno jipya mbadala wa 'kujichubua'
  2. KateMiddleton

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanatamani watoto weupe ila hawawataki wanaume weupe

    No wonder unataka mtt white baba black
  3. KateMiddleton

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanatamani watoto weupe ila hawawataki wanaume weupe

    Ya nini Baltazar Engonga ni mweusi😃?.
  4. KateMiddleton

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanatamani watoto weupe ila hawawataki wanaume weupe

    Hujitambui Wala huelewi biology
  5. KateMiddleton

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanatamani watoto weupe ila hawawataki wanaume weupe

    Kwani weupe hawana?.
  6. KateMiddleton

    JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa kimaisha kabla ya kuoa kuna uwezekano mkubwa ukaoa mwanamke asiye na mapenzi nawe

    Nonsense Eti mazingira ya kuruhusu nini
  7. KateMiddleton

    JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa kimaisha kabla ya kuoa kuna uwezekano mkubwa ukaoa mwanamke asiye na mapenzi nawe

    So u understand tatizo ni mwanaume sio I thnk wanaume mkae kama kamati, baadhi yenu mna shida sana Mjadili na mengine kama ulawiti na ubakaji Hakuna mwanamke anayefanya hayo
  8. KateMiddleton

    JamiiForums Tanzania Picha: Uchafu kama huu Ukeni husababishwa na nini?

    Discharge inatoka ukeni ila unatibu njia ya mkojo? Unategemea nini Akafanye HVS
  9. KateMiddleton

    JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa kimaisha kabla ya kuoa kuna uwezekano mkubwa ukaoa mwanamke asiye na mapenzi nawe

    Kwani mwanamke anajilinda against what?. Na kwanini Zamani alikua analindwa au alikuwa ananyanyasika? Wanawake wenyewe wanasemaje kwani
  10. KateMiddleton

    JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa kimaisha kabla ya kuoa kuna uwezekano mkubwa ukaoa mwanamke asiye na mapenzi nawe

    Kwa kukwepa kuwajibika hamjambo Mimba mtie nyie bado alaumiwe binti Kwenye masuala ya maadili kila mtu abebe wajibu wa kuzuia yasiyo mazur
  11. KateMiddleton

    JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa kimaisha kabla ya kuoa kuna uwezekano mkubwa ukaoa mwanamke asiye na mapenzi nawe

    Lol this is not about me Its between you and your wife Kila mtu ana familia Nmeshangaa mtu kudai hela ndo ya msingi we upotee tu aisee hehe
  12. KateMiddleton

    JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa kimaisha kabla ya kuoa kuna uwezekano mkubwa ukaoa mwanamke asiye na mapenzi nawe

    My point was huwezi kuwa na KE wanaojitunza wengi huku mfumo wa umalaya/promiscuity ni sifa kwa wanaume
Back
Top Bottom