Recent content by KateMiddleton

  1. KateMiddleton

    Tukubali kubadilika, Mifumo ya TEUZI ni chanzo cha Umasikini

    Upuudhi? Ni upuuzi ndugu
  2. KateMiddleton

    Tukubali kubadilika, Mifumo ya TEUZI ni chanzo cha Umasikini

    We acha hio kazi kesho kafanye ishu zingine Na wengine waajiriwe
  3. KateMiddleton

    Tukubali kubadilika, Mifumo ya TEUZI ni chanzo cha Umasikini

    Naona huelewi hata the concept of social security Hali ikisuasua huwa wanapeleka retirement age juu ie 65 yrs...sasa imagine retirement iwe just after 15 yrs,.hicho kikokotoo kitakuwa ni maafa mana balaa haitoshi
  4. KateMiddleton

    Tukubali kubadilika, Mifumo ya TEUZI ni chanzo cha Umasikini

    Huko Ocean Rd ulikaa miaka 7 ya nini Ungekaa mwaka tu Na huko miaka 8 yote ya nini? Kaa mwaka ufanye ishu zingine
  5. KateMiddleton

    Tukubali kubadilika, Mifumo ya TEUZI ni chanzo cha Umasikini

    Miaka 8 yenyewe mingi Iwe basi sera kitaifa Ajira ni mkataba mwaka mmoja ili kila mtu aajiriwe😃 Mana nahisi furaha yako ni vichwa vichangamke na sio utendaji na huduma nzuri
  6. KateMiddleton

    Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

    Nafikiri misimamo mikali ni mtihani
  7. KateMiddleton

    Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

    How Sio kama ndo kila mtu atapoa akijua this thing actually inafuta nchi chaap
  8. KateMiddleton

    Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

    IronDome bado sio imara sana nini?
  9. KateMiddleton

    Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

    Ah whats the point sasa watu wanabakia na hizo BMs na kamikaze sijui Nuclear naona itasaidia kukomesha vita
  10. KateMiddleton

    Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

    Mnaonaje wachambuzi Kuna Hiroshima ingine ama?
  11. KateMiddleton

    Kumbe kuna watu wanaenjoy kwenye ndoa? Nawachukia sana! Nasumbuliwa na post traumatic syndrome I hate all woman even my sister

    Poleh sana Muone mwanasaikolojia Unaweza kuwa sawa tena Unachopitia sio hali ya kawaida Mapenzi mazuri sana
  12. KateMiddleton

    Msemaji Mkuu wa Serikali: Pato la kila Mtanzania ni Tsh. 3,048,681

    Sawa Kuna ulazima wa kuwakumbusha wasio na kipato?
  13. KateMiddleton

    Ni ubadhilifu mkubwa DART kutoa smart card mpya za mwendokasi

    Kadi za NIDA zilipaswa kuwa smart card
Back
Top Bottom