Eh hongereni naona watu imeishia washakua mke na mume
Mie huyu bwn haahha dahh maisha safari nyie Mungu atusaidie mana hadi sasa siamini kwa kuwa nilikuwa napinga sana kutoka na rafiki wa Bwana'ako
Ila ndo niko nae saivi
Nilikuwa katika husiano bora liende tu kusogeza siku na kaka mmoja hv...
Mtu ambaye nimewahi kuongea nae mara nyingi sana katika mahusiano kwa simu,videocall,sms na private times tukiwa wawili kanizidi miaka 22
Dunia ni zaidi ya uijuavyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.