Recent content by KateMiddleton

  1. KateMiddleton

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Video: Bi Haika Lawere; Wanawake ficheni Mali Zenu, Wanaume Ni Matapeli

    Wametokwa povu si kidogo🤣
  2. KateMiddleton

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

    Kuolewa haimaanishi anampenda sana huyo jamaa Ni vile jamaa alitangaza ndoa Ss mtu asitoke na ampendaye badae?
  3. KateMiddleton

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Subiri siku 3 af ndo ujibu Ubay....
  4. KateMiddleton

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Sasa umeiva binti Enjoy life
  5. KateMiddleton

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Wa malengo hutamjua Watu hubadilika hata kama kuna cheti
  6. KateMiddleton

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Ute papaaa ute....
  7. KateMiddleton

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Hili nalo ni sahihi kabisa Na kupenda kweli kunatokea kwa nadra sana Maybe once in 5 yrs
  8. KateMiddleton

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Chaap sana Usijiapize kumuacha mtu na bado unampenda utateseka Kimya tu
  9. KateMiddleton

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeishi na mwanamke miaka mitatu bila kupata mtoto, nifanyaje

    Em jazia nyama hapo kwenye ujanani ushatia sana watu mimba Hizo mimba nini kilihappen?ni ngapi? Unalea? Hao babymama?wana hali gani?
  10. KateMiddleton

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Tafuta jamaa mwingine wa backup Huyo kama unampenda usiage wala nini mtaja endelea siku akianza kuongea
  11. KateMiddleton

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Two avoidants can never sustain a rlship Na ndio wengi wako dating market Mana kila leo wanaanza moja na wataachana hadi Yesu anarudi
  12. KateMiddleton

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulikutana wapi na mwenza wako kwa mara ya kwanza?

    Eh hongereni naona watu imeishia washakua mke na mume Mie huyu bwn haahha dahh maisha safari nyie Mungu atusaidie mana hadi sasa siamini kwa kuwa nilikuwa napinga sana kutoka na rafiki wa Bwana'ako Ila ndo niko nae saivi Nilikuwa katika husiano bora liende tu kusogeza siku na kaka mmoja hv...
  13. KateMiddleton

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnaofunga ndoa na watu ambao mmepishana umri kwa zaidi ya miaka kumi huwa mnaongea mnapokuwa chumbani?

    Mtu ambaye nimewahi kuongea nae mara nyingi sana katika mahusiano kwa simu,videocall,sms na private times tukiwa wawili kanizidi miaka 22 Dunia ni zaidi ya uijuavyo
  14. KateMiddleton

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nikimuona mwanamke ana miaka kuanzia 40 na kuendelea hajaolewa, inanitafakarisha sana

    Kua uyaone Ulidhani maghorofa?
Back
Top Bottom