Hawa watu utawajua kwa kubadilika kama kinyonga kwanza walimlaumu leo wamebadilika tena futi mia kwakweli ukitaka kumchukia magufuli ingia jamiiforum.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mbaya kama anapiga hukuanajenga kumbe ni mwizi mzuri kuliko mwizi anaiba anakaa kimya kama enzi za Kikwete mtu anapiga anabeba kwenye majunia na hawajengi kitu... Kumbe mwizi mzuri sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.