Recent content by Katastrophe

  1. Katastrophe

    JamiiForums Tanzania Azam akipata leseni ya kuonesha EPL na UEFA, hawa DSTV kwisha habari yao

    Hawajui Azam kaweka 225 billion (Tshs) deal ya exclusive rights ku-broadcast TPL
  2. Katastrophe

    JamiiForums Tanzania Hivi wapenzi wa King'amuzi cha Azam tofauti na ligi ya Tanzania kuna nini?

    Mkuu hebu naomba uni-enlighten zaidi kuhusu huu mchakato mzima
  3. Katastrophe

    JamiiForums Tanzania Ulimbukeni wa Watanzania na cheo cha "Udaktari wa Heshima" (Honorary Doctorate)

    Imekuwa kawaida sana tz kusikia Mheshimiwa Rais "dokta" Samia Suluhu Hassan, Mheshimiwa rais "dokta" Jakaya Mrisho Kikwete... n.k Kwanza kabisa nianze kwa kufafanua (kwa wale wasiojua). Udaktari wa Heshima (Honorary Doctorate) anatunukiwa mtu ambaye amefanya jambo fulani chanya katika jamii...
  4. Katastrophe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa walioko kwenye ndoa tu (kama hujaoa usifungue)

    Sanaaaa
  5. Katastrophe

    JamiiForums Tanzania Niliporudi kutoka Uswisi baada ya kukaa kule wiki mbili niliona Dar ni chafu sana

    Usafi ni utamaduni unaoanza kufundishwa katika ngazi ya chini kabisa. Imagine tunawafundisha nini watoto wetu pale mtu unapomenya ndizi halafu ganda lake unalitupa chini (tena kwenye lami kutoka garini)...inasikitisha. Mtu umemaliza kunywa maji unatupa chupa. Hivi kila mtu angefanya hivyo...
Back
Top Bottom