me naona ni tapeli tu, kwa sababu hizo dawa zake anauza bei ghali sana halafu ukiacha kutumia ugonjwa unarudi kama kawaida hata kama dozi ni ya wiki mbili, hizo wiki mbili zikipita ukiacha kutumia ugonjwa unarudi kama vile hujawai kutumia dawa yoyote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.