Recent content by Katara

  1. K

    Dr. Isaack Ndodi: Hisia mchanganyiko

    me naona ni tapeli tu, kwa sababu hizo dawa zake anauza bei ghali sana halafu ukiacha kutumia ugonjwa unarudi kama kawaida hata kama dozi ni ya wiki mbili, hizo wiki mbili zikipita ukiacha kutumia ugonjwa unarudi kama vile hujawai kutumia dawa yoyote.
Back
Top Bottom