Kwa mtazamo wangu naona hili swala linawawia vigumu upande WA pili nikitolea mfano una mke lakini si mwaminifu kwa maana anatoka nje ya ndoa, umefanya juhudi mbalimbali ikiwemo kwenda kwa viongozi wa dini lakini imeshindikana na imani yako inakataza kuacha wala kuoa mwanamke mwingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.