Mechi ikirudiwa maana yake inarudiwa dk zilizosalia kma zilibaki dk 20 Basi mpira utachezwa kwa dk 20 tu bila kuathiri matokeo ya awali matokeo yataendelea kuwa vile vile labda asawazishe maana yake mfano dk 20 zilizobaki apate goli tatu bila
Wakuu natumaini humu wazima na hamjambo na Kama Kuna mwenye matatizo Basi mungu atakusaidia na atapona
Lengo ni kutaka kujua Kuna mdau mmoja akituma walaka kuhusu bodi ya michezo ya kubashiri Tanzania kuwa wamepata malalamiko ya watu kutolipwa Ela zao na betpawa na kusema wanashughulikia ili...
Jamani betpawa wanatutesa najuta kwanini nilibet huu mkeka na betpawa leo siku ya nne wanashindwa kunilipa Ela yangu naishi kama masikini hata Ela ya maji nakosa wakati Nina maokoto yangu mazuri tu wikiendi iliyopita nilimpata kwann betpawa amekuwa mzinguaji kiasi hicho kibaya Zaid ukipiga no...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.