Hii kadi niliiokota maeneo kaloleni Arusha nyuma ya kanisa la pentecoste kaloleni
Kama una mfahamu naomba umjulishe nimejaribu kulitafuta hilo kwenye mitandao sijalipata
Nimeenda pia wanapouza pikipiki kuangalia kama wanamfahamu ili nipate mawasiliano yake sijampata
Kama atasoma hapa au kama...
Siku hizi usafiri wa bodaboda ni usafiri maarufu sana hapa nchini na watu wengi wanautumia usafiri wa bodaboda kwenda kwenye majukumu yao mbalimbali.
Wewe kama ni (mtumiaji) wa usafiri wa bodaboda. Naomba nikupe mambo machache ya kuzingatia unapotumia usafiri wa bodaboda.
Haya mambo nayaandika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.