Recent content by Kashasma

  1. K

    JamiiForums Tanzania Habari wana jf??

    Naomba mtu anayejua au anamfahamu daktari wa saikolojia MUHIMBILI , aniunganishe nae au anipe mawasiliano yake. Kuna mtot wa dada yangu anajisikia vibayani mda sasa.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Je, usichana wangu bado haujatoka au ni ugonjwa huu?

    Huo ugonjwa tiba yake au solution yake ni nini?? Kuan ndugu yangu nae nahisi anao.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Bajaj imetoa toleo jipya la pikipiki aina ya Boxer 125 HD

    Umeambiwa hazina oil filter hili toleo ni jipya oil filter haipo.
  4. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nitumie mbinu gani kumtoa bikra?

    Nimekuelewa sana tuuuu!!! Mi sijapata mtu wa kunitoa hiyo kitu.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta Msaikolojia (tiba) kutoka Muhimbili

    Poa
  6. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta Msaikolojia (tiba) kutoka Muhimbili

    Nimekuelewa ila shida hii inahitaji msaikolojia kutoka huko.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta Msaikolojia (tiba) kutoka Muhimbili

    Ningepata private au pm zao niwaeleze huko boss. Pili au nipate namba ya mmoja wapo. Shida nyingine siunjua tena???
  8. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta Msaikolojia (tiba) kutoka Muhimbili

    Kama yupo atokee jamani msaada unahitajika.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta Msaikolojia (tiba) kutoka Muhimbili

    Vipi na hawa ni madaktari wa hapo muhimbili au??
  10. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta Msaikolojia (tiba) kutoka Muhimbili

    Jitahidi ifunguke boss
  11. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta Msaikolojia (tiba) kutoka Muhimbili

    Jitahidi basi iwasiliane naye unipe mrejesho. Mi nahitaji namba tu ya daktari yeyote kwenye hiyo department.ilimradi awe msaikolojia tu.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta Msaikolojia (tiba) kutoka Muhimbili

    Sijabisha kama kuna watu wa muhimu ila ndoa hivyo kuwapata sasa. Sasa mbona pm yako mbona hifunguki?? Watu wote humu ni wa maana tu ila tunatofautiana.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta Msaikolojia (tiba) kutoka Muhimbili

    Mimi nina shida jamani naomba kama kuna mtu anajua au anamfahamu psychologist (Msaikolojia tiba) yeyote toka Muhimbili hospital akisaidiwa namba ake mimi niko huku tabora. Kuna mgonjwa anaumwa. Sasa tulikuwa na shida na psychologist (msaikolojia tiba)
  14. K

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mtaalamu wa saikolojia

    Help me
Back
Top Bottom