Recent content by KASHASIRA

  1. K

    Msaada wenu tafadhari

    Mimi kijana naishi mkoa wa Kagera naomba ushauri nina Mtaji wa Milioni Moja nimeplani kufanya bihashara ya Internet cafe je inawezekana kwa mtaji wangu na kama haiwezakini ni bihashara Gani naweza kufanya kwa kiasi kidogo cha fedha nilicho nacho. Ushauri Tafadhari.
  2. K

    Laptop inauzwa

    KOmputa ndogo (laptop) inauzwa Chato anayehitaji tuiwasiliane kwa namba 0753627288
  3. K

    Kwa anae itaji til ya m-pesa (wakala)

    Kaka sema bei pia sema upo maeneo gani ili tuone kama ni rahisi kuipata
Back
Top Bottom