Hiyo ndo serikali ya jk bado mwanae apewe uwadhiri. Maana ukiangalia video hizo mbili hata kama hujasomea sheria utajua nani mbaya,
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Ki ukweli mi ni super fan wa diamond but kwa hili cimsapoto ye mtoto wa kiume angekausha tu and kwani hakustahili kufanya hivyo. Kiukweli kaboa na kuchemsha kwa hili
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.