Umeandika vizuri kiasi kulingana na uelewa wako
Ila hapo kwa job na Mwamnyeto vs Ninja hapana
Ninja ni beki mzur sana ila tatizo lake moja ni papara, anatumia nguvu sana kwenye uchezaji wake kama ukicheza dhid ya washambuliaji hatari na wepes bas tegemea penat muda wowote ule
Pia ninja pasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.