Ndugu wana jamvi naomba kuuliza kwa yeyote mwenye ukweli kuhusu hili, kuna mtumishi mmoja kanidokezea kwamba hizo hela huwa zinaliwa, wengi huwa hawapewi na hawapewi maelezo.
Naombeni msaada kwa watimisi wote
cjajua mnataka nini. Hebu tupeni na wake zao wanatoka wapi kama mume mzanaki mke mzaramu basi mzaramu akipata c na mzanaki kapata mi cioni tatizo ila ukanda wametufunza mafisiem
cjajua mnataka nini. Hebu tupeni na wake zao wanatoka wapi kama mume mzanaki mke mzaramu basi mzaramu akipata c na mzanaki kapata mi cioni tatizo ila ukanda wametufunza mafisiem
Jamani sijui huwa kwa nini naamini hivi, ili tujukwamue hapa tulipo sasa, tunahitaji Waziri wa Kilimo mkwelina mchapa kazi.
Tunahitaji mtu ambae atamshauri vizuri JPM bila unafiki wa kisiasa kufufua mazao yote ya biashara na mkulima apate kipato kinachojibu changamoto za maisha kwa mfano...
tunampa nguvu ili asilegeeee kama aliyepita c unaona isue ya ada elekezi ashaufyata eti waongeze ada tuu kama kuna ulazima. Vipi na waliopokea mv-dar es salaam nao watimbuliwe. HUYU TUNATAKIWA UKAWA TULE NAE KORIKORI ILI ASILEGEE TUKIAACHIA CCM WATAMLEGEZA MAPEMA.
Hivi unakumbuka isue ya Ng'ano ya huyo bosi wa Azam. Usikute ni malipo ya ule uharibifu waliofanya viongozi enzi zile. NDIO MAANA JAMAA HAWATAKI KUACHIA NCHI NGO. Hebu ulizeni ni mali gani za wizara ya kilimo alipewa kama fidia msiendelee kumlaumu bure unaweza kukuta hana kosa
ungejaribu kujastifai kauli yako kwa takwimu ili tuamini kuwa haitoshi. Usisahau jk na jpm walikula dona harage wali wiki mara moja sasa hao wa fweza utaanza na chips kuku ili tu isitoshe.
kama wewe unalipwa 36500000 kwa mwezi mlipie mwanao asome ila kama ulikuwa unatumia za 10% pole sana ndugu. Mpeleke shule ya serikali alafuvmnunulie vitabu vingi uwezavyo. Huo ni ushauri tu.
kama wewe unalipwa 36500000 kwa mwezi mlipie mwanao asome ila kama ulikuwa unatumia za 10% pole sana ndugu. Mpeleke shule ya serikali alafuvmnunulie vitabu vingi uwezavyo. Huo ni ushauri tu.
kama wewe unalipwa 36500000 kwa mwezi mlipie mwanao asome ila kama ulikuwa unatumia za 10% pole sana ndugu. Mpeleke shule ya serikali alafuvmnunulie vitabu vingi uwezavyo. Huo ni ushauri tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.