Recent content by Kanyafu Nkanwa

  1. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

    Tundu aliamua kukwepa kuongelea maandamano akakimbilia tigo. Very unfortunate kwa siasa za bongo.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Bado Rais Samia haja-calculate mshahara

    Hahahahahaha. Tumchague Ndugai basi
  3. K

    JamiiForums Tanzania Bado Rais Samia haja-calculate mshahara

    Mama mwenyewe kasema hatuna shukrani. Ina maana hatujaona lolote.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Bado Rais Samia haja-calculate mshahara

    Nani katamka? Uneshuka wapi na umepanda wqp
  5. K

    JamiiForums Tanzania Bado Rais Samia haja-calculate mshahara

    Mavi yanakaa chooni. Kuna sehemu wanakula?
  6. K

    JamiiForums Tanzania Bado Rais Samia haja-calculate mshahara

    Hakuwahi ahidi. Mwaka jana tuliahidiwa...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Bado Rais Samia haja-calculate mshahara

    Hatupingi wala hatuna namna. Tunaongelea ujinga wetu. Ujinga ambao unatumaliza
  8. K

    JamiiForums Tanzania Bado Rais Samia haja-calculate mshahara

    Jamaa alishaondoka. Tusi.jadili. Tuongelee ujinga wetu.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Bado Rais Samia haja-calculate mshahara

    Duh😃😁🙄🤔
  10. K

    JamiiForums Tanzania Bado Rais Samia haja-calculate mshahara

    Nimerejea. Ninachoona ni kuwa umeamini kuwa kuna nyongeza. Hapo ndipo uliponiona mtoto. Umefikiria kuwa sasa ni mwaka,mama yako ndiyo anafikiria ku-calculate mshahara wako? Siasa ngumu sana. Tunaweza gombana huku, mama yako anatanua US akizindua album
  11. K

    JamiiForums Tanzania Bado Rais Samia haja-calculate mshahara

    Hahahahahaha
  12. K

    JamiiForums Tanzania Bado Rais Samia haja-calculate mshahara

    Zako za kikubwa tunazihitaji hapa
  13. K

    JamiiForums Tanzania Bado Rais Samia haja-calculate mshahara

    Tunashughulika na Samia. Kuzimu kama una hamu tangulia.
  14. K

    JamiiForums Tanzania Bado Rais Samia haja-calculate mshahara

    Kwani huyu kapandisha?😁😆😆🤣😂
  15. K

    JamiiForums Tanzania Bado Rais Samia haja-calculate mshahara

    He was and will remain so
Back
Top Bottom