Kuna tofauti ya kulewa pombe na kunywa pombe
Kulewa pombe ni pale ambapo unatabia ya kunywa pombe mpaka ulewe chakari ndiyo unardhika mtu wa aina anaitwa mlevi
Kunywa pombe kwa upande mwingine ni kunywa kiasi kidogo cha pombe kama kiburudisho tu au sehemu ya chakula na si lazima unywe kila...
Watoto wakimaliza shule ya msingi ndiyo wanafaa kupelekwa boarding, nje ya hapo uwe na sababu ya msingi sana, vinginevyo wapeleke kabla ya muda huo lkn hiyo itakua at your own risk.
Have made myself clear?
Labda alikopa kwa ajili ya kwenda kuanza maisha ya kujiajiri sasa harakati hizo akajikuta analazimika kua mtoro kazini ( japo hiyo siyo sababu ya msingi) na alikoenda napo shughuli zake zikabuma na mikopo nayo ndiyo bado anadaiwa,tena mokopo mingine ni mikopo umiza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.