tatizo la ucc, ukisoma toka magazeti yaanze kuandika , shida kubwa inasemekana ni huyo Mkurugenzi Dr Minja. hiyo nafasi aliyopewa ni kama vile hana uwezo nayo. halafu inaelekea hana mahusiano mazuri na wafanyakazi..naona wanalalamika anawanyanyasa. ngoja tusubiri uchunguzi wa tuhuma...
kwa wiki kadhaa naona magazeti yanaripoti madudu ya mkurugenzi wa UDSM- computing Centre
Hivi ni kwa hawamu hii watendaji wa Serikali bado wanacheza na mali za uma
Inasemekana mali ya mamilion ya walipa kodi zimeharibika huku shule watoto bado wanakaa chini
Uongozi wa chuo kikuu unabidi utolee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.