Kuna nafasi za kazi zilitangazwa na sekretarieti, nikatuma maombi na kwny application zng nilitumia majina matatu km ilivyo kwny vyeti yaani 1st,middle,na surname.
Kwny tangazo la usaili walitoa majina mawili,1st na middle name tu.Nikauwauliza wakasema haina tatizo, marekebisho...
Mimi ni kijana Mtanzania. Nimehitimu chuo kikuu mwaka Juzi na kwa muda wa miezi 5 sasa nimekuwepo hapa DSM nikihangaika kutafuta ajira bila mafanikio. Ninaishi kwa Mtu ambaye pia ana maisha magumu but kaamua tu kunisaidia ili nisogee karibu na huduma za ajira. Juzi nilipokea. Simu kutoka...
Mwezi uliopita kulifanyika saili za kada mbalimbali na hawa utumishi, na kwa baadhi ya kada, waliahidi kutoa majibu baada ya wiki 2, Leo mwezi umekatika! Ni bora mngekaa kimya kuliko kutoa ahadi, mnaboa kweli kweli...
Kama nilifanya interview na sikuwepo kwenye majina ya kupangiwa vituo vya kazi, inawezekana nikawa nimefeli au nimekosa nafasi. Nitafahamu vipi Kama nimewekwa kwenye kanzidata (database)?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.