Recent content by kang'ombe

  1. K

    Ofisi Za Kazi (labour Offices) Zilipo Temeke

    Habarini Za Asubuhi Wapendwa? Naomba Kuelekezwa Mahali Zilipo Ofisi Za Kazi/labour Office, Kwa Manispaa Ya Temeke. Nitashukuru Sana!
  2. K

    Nina utata kuhusu hili la Sekretarieti ya Ajira

    Utahira-utaahira? Complecate-complicate?
  3. K

    Nina utata kuhusu hili la Sekretarieti ya Ajira

    Ushauri mzuri, asante ndugu,ngoja niufanyie kazi!
  4. K

    Nina utata kuhusu hili la Sekretarieti ya Ajira

    Kuna nafasi za kazi zilitangazwa na sekretarieti, nikatuma maombi na kwny application zng nilitumia majina matatu km ilivyo kwny vyeti yaani 1st,middle,na surname. Kwny tangazo la usaili walitoa majina mawili,1st na middle name tu.Nikauwauliza wakasema haina tatizo, marekebisho...
  5. K

    A cry for help!!

    Mimi ni kijana Mtanzania. Nimehitimu chuo kikuu mwaka Juzi na kwa muda wa miezi 5 sasa nimekuwepo hapa DSM nikihangaika kutafuta ajira bila mafanikio. Ninaishi kwa Mtu ambaye pia ana maisha magumu but kaamua tu kunisaidia ili nisogee karibu na huduma za ajira. Juzi nilipokea. Simu kutoka...
  6. K

    Utumishi, tatizo ni nini?

    Wamepigiwa watu wa kanzidata ya kada gani mkuu?
  7. K

    Utumishi, tatizo ni nini?

    Una uhakika na unachokisema mkuu?
  8. K

    Utumishi, tatizo ni nini?

    Mwezi uliopita kulifanyika saili za kada mbalimbali na hawa utumishi, na kwa baadhi ya kada, waliahidi kutoa majibu baada ya wiki 2, Leo mwezi umekatika! Ni bora mngekaa kimya kuliko kutoa ahadi, mnaboa kweli kweli...
  9. K

    Utumishi kupiga simu baada ya oral interiew

    Kama nilifanya interview na sikuwepo kwenye majina ya kupangiwa vituo vya kazi, inawezekana nikawa nimefeli au nimekosa nafasi. Nitafahamu vipi Kama nimewekwa kwenye kanzidata (database)?
  10. K

    Waliotuma maombi ya kazi Redcross kupitia Posta imekula kwao

    Wametoa majina au wamewapigia simu?
  11. K

    Red cross society, USAILI

    Jamani, Kuna posts zilitangazwa Novemba na hawa Red cross society, vipi,washaita watu kwenye interview?
  12. K

    Natafuta kazi yoyote, nina digrii ya elimu ya jamii (SOCIOLOGY)

    0659086832. Piga tuzungumze au tuma sms.
  13. K

    Natafuta kazi yoyote, nina digrii ya elimu ya jamii (SOCIOLOGY)

    Pole sana na mungu akusamehe coz hujui ulitendalo.
Back
Top Bottom