Habari za majukumu ndugu zangu.
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa Pili, chuo Fulani kilichopo Dar es salaam.
Kutokana na ukoseafu wa ajira ninao ushuhudia kwa baadhi ya wahitimu.. ( marafiki zangu na Taifa kwa ujumla) nimeona na kujadili mtindo ufuatao wa Maisha ili hiki kipindi nipo chuo nitumie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.