Kwa hoja hii, inashangaza Sana na inasikitisha, sijui wamechoka amani waliyonayo au shibe imepitiliza katiba tulinayo ipo wazi. Kama gains Cha kuongea bungeni piga usingizi, ujatumwa hayo na wananchi
Kwa nini mnafanya hivi Vodacom, kuanzia mwezi wa kumi, vifurushi vyenu havikai, mtu unanunua kifushi Cha wiki ndani ya saa au siku kimeisha wakati ujafanya chochote, kuweni na huruma kwa pesa za wenzenu, kwa nini nilipie wiki, na huruma iishe kabla, waliosomea Sheria msaada please,
Hofu yangu hakuna kiongozi wa kiafrica, anayeleta maendeleo kwa anayewaongoza, mfano mtu akiteuliewa kuwa waziri utashanga ananza kufanya ujenzi wa makazi yake kupora ardhi za wananchi hii Ni aibu, viongozi waliojaa tamaa, mzalendo aliwa baba wa taifa hatari Mel nyerere
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.