Lazima uelewe lengo, lengo la serikali sio kuendeleza chochote ni control, kwa kuforce domain wanayoweza kukontrol ni rahisi kwao kuzima yoyote anayeleta shida, TZ sio sehemu ya kufanya kitu chochote kipya kwenye tech, miaka kadhaa iliyopita walikuwa wanapiga kelele za "Silicone Zanzibar" sijui...
Hili ni kumbusho kuwa karibia hifadhi zote za data zinaoza baada ya muda fulani, kitu ambacho ni muhimu kuzingatia.
HDD (Hard Disk Drive)
Zile mechanical ambayo haitumiki zinaoza baada ya miaka 2-20 kutegemea na ubora wa drive na hasa mazingira iliyohifadhiwa, mazingira ya TZ ya joto na...
Tatizo sio app tatizo ni kwamba Google wameondoa zile Api kabisa za kunasa sauti kwa ajili ya call recording katika Pixel kabla ya 9 so hata app zinapata shida kunasa sauti za upande wa pili, kwa hiyo kama unataka recording ni bora kununua simu ambayo ina uwezo huo ndani yake teyari bila...
Optimizing Apps ni feature ya Android ambapo apps zinakuwa dex recompiled kuongeza ufanisi, hii inafanyika mara pale unapofanya update ya Android au marabnyingine update ya App
Hii haitakiwi kutokea mara kwa mara au kila unapowasha simu.
Jaribu yafuatayo:
Kama una apps za "Cleaner" "Optimizer"...
Mwaka na waya sio tatizo kubwa unaweza kununua monitor leo ambayo ni ovyo kuliko hizo mbili.
Inabidi uangalie spec na technology za hizo monitor.
Kwa vile dp na hdmi zote zinadeliver digital signal ile ile hakutakuwa na tofauti kama settings ni zile zile, kujihakikishia hilo tumia monitor...
Nilimaanisha unganisha computer na tv kwa HDMI kwa uhakika.
Zipo simu zinakubali usbc ->hdmi ila sio kila simu ina huo uwezo, technojia inaitwa DisplayPort Alternate Mode simu za Galaxy S series karibia zote zinazo, Pixel 8 kwenda juu, unaweza kuuliza GPT kama simu yako inayo au jaribu app...
Wanatumia system za MDM Mobile Device Management ambayo inafanana na system za kumanage simu za kampuni kama system hiyo ipo installed kwenye simu unaweza kuzuia matumizi fulani kutoka mbali, so unaweza ukatafuta system kama hiyo kama unataka kufanya kila kitu mwenyewe au utafute kampuni ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.