Recent content by Kang

  1. Kang

    Msaada. Huawei A20 imekataa kuconnect kwenye hotspot

    Pia unaweza kutumia HiSuite baadhi ya simu za Huawei kufanya recovery.
  2. Kang

    Msaada. Huawei A20 imekataa kuconnect kwenye hotspot

    Chomeka charger bonyeza Download & Recovery, kama umajaribu hotspot tu tafuta wifi nyingine.
  3. Kang

    Ni vitu gani nizingatie nikiwa nanunua router kwa ajili ya matumizi ya ofisi kwa wastani wa watumiaji 300?

    Kulikuwa na haja gani kurudia hii thread kamanda? Nadhani ulipata majibu mazuri teyari. https://www.jamiiforums.com/threads/router-gani-nzuri-kwa-matumizi-ya-ofisi-yenye-watu-zaidi-ya-500.2194770/
  4. Kang

    Msaada whatsapp

    Tatizo linaweza kutokana na simu, WhatsApp inashindwa kuverify kama ni original katika baadhi ya simu za Kichina hasa zile ambazo hazina official Play Store support.
  5. Kang

    Msaada: namna ya ku-recover WhatsApp Video call (outgoing) if possible.

    WhatsApp haihifadhi video calls, so hakuna uwezekano wa kuipata.
  6. Kang

    Smart TV yenye DVB T2/S2 Ina Faida gani Kwa Soko la Tanzania ikiwa Channels zimezuiliwa kuonekana kwa kutumia builtin Decorder? Wizara Husika?

    Subscription, unaingia mkataba wanapiga panga kila mwezi moja kwa moja kwenye account au credit card $45 - $150 kwa mwezi kutegemea na bundle unayochagua na umepata discount gani mara nyingi hii ni TV + internet ya nyumbani + landlines. Ila zipo pia TV za bure maeneo mengi unahitaji antena...
  7. Kang

    Kushuka bei kwa simu za oppo kariakoo shida nini?

    Hizi ads ni za Xiomi ambazo zinatokea kwenye UI yao sio kwenye Apps. Siwezi kuamini kampuni inayoweka ads kwenye UI disable or not, hata hiyo option ya kudisable wanaweza kuamua kuifuta.
  8. Kang

    Smart TV yenye DVB T2/S2 Ina Faida gani Kwa Soko la Tanzania ikiwa Channels zimezuiliwa kuonekana kwa kutumia builtin Decorder? Wizara Husika?

    Lakini kabla ya digital kuja kila TV ilikuwa bure na wote walikuwa na transmitter zao, hakuna tofauti kwenye hilo. Nadhani kutakuwa na sheria maana wangepata hela ya matangazo bado kuna biashara hapo.
  9. Kang

    Smart TV yenye DVB T2/S2 Ina Faida gani Kwa Soko la Tanzania ikiwa Channels zimezuiliwa kuonekana kwa kutumia builtin Decorder? Wizara Husika?

    Hatuongelei Satalite! Tunataka TV ya kawaida ambayo signal yake haiko encrypted, satelite ina gharama za dish/decoda/receiver.
  10. Kang

    Smart TV yenye DVB T2/S2 Ina Faida gani Kwa Soko la Tanzania ikiwa Channels zimezuiliwa kuonekana kwa kutumia builtin Decorder? Wizara Husika?

    Haongelei satelite anaongelea TV digital ambazo haihitaji dekoda unachomeka hata zile antena za ndani unakamata digital channel yani kama ilivyokuwa zamani kabla ya ujio wa digital bongo. Sijui kwa bongo tatizo ni sheria au wenye TV station wanaona dekoda zinalipa zaidi.
  11. Kang

    Smart TV yenye DVB T2/S2 Ina Faida gani Kwa Soko la Tanzania ikiwa Channels zimezuiliwa kuonekana kwa kutumia builtin Decorder? Wizara Husika?

    Hivi vitu viko integrated kiasi kwamba kiwanda kinafyatua komponent ambazo zina kila kitu built in kutengeneza TV ambazo haina hiyo input inaweza kuwa gharama zaidi kwao kwa upande wa manufacturing/distribution/marketing. Probably serikali inapata chochote kutokana na hizi dekoda so inaweza...
  12. Kang

    Kushuka bei kwa simu za oppo kariakoo shida nini?

    Xiaomi sio kampuni ya kuiamini wanachomeka matangazo kwenye UI yao ovyo kabisa, hardware ni nzuri ila siwezi kuwaamini tena haichelewi kuingia update inayoleta matangazo.
  13. Kang

    Wlan connection ya cpe mbil

    Sure inawezekena.
  14. Kang

    Kipato kwenye TEHAMA na taaluma yake hakina ukomo

    Weka link unapotangaza YT channel ili twende kiurahisi, pia video za namna ile ambayo ni picha tu unaongea ni shida kupata views, angalau fanya ka powerpoint presentation fulani.
  15. Kang

    Jinsi ya kufuta caches kwenye laptop kwa maana imekuwa nzito sana

    Umekimbilia "cache" kwanini? Cache inafanya vitu viwe faster kama alivyoeleza FRANC hapo. Pia kusema tu cache ni eneo pana sana cahce ya kitu gani? Computer kuwa slow ambayo ilikuwa fast asilimia 90% ni. Umeinstall program zisizoeleweka hasa AV/VPN nyingi ni feki tu hakuna zinachofanya...
Back
Top Bottom