Tatizo linaweza kutokana na simu, WhatsApp inashindwa kuverify kama ni original katika baadhi ya simu za Kichina hasa zile ambazo hazina official Play Store support.
Subscription, unaingia mkataba wanapiga panga kila mwezi moja kwa moja kwenye account au credit card $45 - $150 kwa mwezi kutegemea na bundle unayochagua na umepata discount gani mara nyingi hii ni TV + internet ya nyumbani + landlines.
Ila zipo pia TV za bure maeneo mengi unahitaji antena...
Hizi ads ni za Xiomi ambazo zinatokea kwenye UI yao sio kwenye Apps.
Siwezi kuamini kampuni inayoweka ads kwenye UI disable or not, hata hiyo option ya kudisable wanaweza kuamua kuifuta.
Lakini kabla ya digital kuja kila TV ilikuwa bure na wote walikuwa na transmitter zao, hakuna tofauti kwenye hilo. Nadhani kutakuwa na sheria maana wangepata hela ya matangazo bado kuna biashara hapo.
Haongelei satelite anaongelea TV digital ambazo haihitaji dekoda unachomeka hata zile antena za ndani unakamata digital channel yani kama ilivyokuwa zamani kabla ya ujio wa digital bongo.
Sijui kwa bongo tatizo ni sheria au wenye TV station wanaona dekoda zinalipa zaidi.
Hivi vitu viko integrated kiasi kwamba kiwanda kinafyatua komponent ambazo zina kila kitu built in kutengeneza TV ambazo haina hiyo input inaweza kuwa gharama zaidi kwao kwa upande wa manufacturing/distribution/marketing.
Probably serikali inapata chochote kutokana na hizi dekoda so inaweza...
Xiaomi sio kampuni ya kuiamini wanachomeka matangazo kwenye UI yao ovyo kabisa, hardware ni nzuri ila siwezi kuwaamini tena haichelewi kuingia update inayoleta matangazo.
Weka link unapotangaza YT channel ili twende kiurahisi, pia video za namna ile ambayo ni picha tu unaongea ni shida kupata views, angalau fanya ka powerpoint presentation fulani.
Umekimbilia "cache" kwanini? Cache inafanya vitu viwe faster kama alivyoeleza FRANC hapo. Pia kusema tu cache ni eneo pana sana cahce ya kitu gani?
Computer kuwa slow ambayo ilikuwa fast asilimia 90% ni.
Umeinstall program zisizoeleweka hasa AV/VPN nyingi ni feki tu hakuna zinachofanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.