Mimi ni kijana wa kiume (25) nipo Dodoma nahitaji kufanya biashara nina mtaji wa shilingi laki Tano tu 500,000. Je nifanye biashara gani itakayonipatia faida na kukuza kipato changu. Nina ujuzi wa kumpyuta na ualimu tu.
Mawazo yenu wakuu.
Asanteni.
Mimi ni kijana wa kiume (25) nipo Dodoma nahitaji kufanya biashara, nina mtaji wa shilingi laki Tano tu 500,000.
Je, nifanye biashara gani itakayonipatia faida na kukuza kipato changu? Nina ujuzi wa kompyuta na ualimu tu.
Mawazo yenu wakuu.
Asanteni.
=======
Nyuzi unazoshauriwa kusoma:
1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.