Habari wakuu, samahani nauliza kwa anayefahamu mashine ya kutengeneza vitabu kama petty cash, receipt book, oder book, invoice book, vitabu.
Naombeni kufahamu gharama ya hiyo mashine na wapi zinapatikana.
Habari wakuu,
Samahani kwa mtu mwenye exprience na biashara ya stationary naomba msaada wa kiutaalam.
Nahitaji kuanzisha biashara ya stationary lakini sehemu nilipo kuna ushindani wa hiyo biashara.
Wenyewe copy wanatoa kwa sh 20 mpk 25 per page na kuprint ni sh 50 per page.
Manake ili uweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.