Recent content by KANAANI MPYA MINISTRY

  1. K

    Mashine ya kutengeneza vitabu

    Habari wakuu, samahani nauliza kwa anayefahamu mashine ya kutengeneza vitabu kama petty cash, receipt book, oder book, invoice book, vitabu. Naombeni kufahamu gharama ya hiyo mashine na wapi zinapatikana.
  2. K

    Nahitaji printer ambayo itafaa kwa graphics

    Asanye mkuu nanhiyo CANON ina bei gani boss
  3. K

    Nahitaji printer ambayo itafaa kwa graphics

    Ambazo hizo ni bei gani mkuu, na zinauwezo wa kuprint na copy kwa pamoj na ni photocopy tu
  4. K

    Nahitaji printer ambayo itafaa kwa graphics

    Asante kiongozi kwa ushauri nitazifatilia zote.
  5. K

    Nahitaji printer ambayo itafaa kwa graphics

    Habari wakuu, Samahani kwa mtu mwenye exprience na biashara ya stationary naomba msaada wa kiutaalam. Nahitaji kuanzisha biashara ya stationary lakini sehemu nilipo kuna ushindani wa hiyo biashara. Wenyewe copy wanatoa kwa sh 20 mpk 25 per page na kuprint ni sh 50 per page. Manake ili uweze...
Back
Top Bottom