Recent content by Kamura kani

  1. K

    Kufanya mauzo makubwa sio kupata faida

    mbona ameeleza vzuri sana. changamoto tulionayo watanzania au africa kwa ujumla ni elimu ndogo ya biashara. mfano unakuta bidhaa unayoenda kununua dubai jumla unakuta huku kwetu reja reja ni bei rahisi kuliko reja reja dubai penyewe licha ya gharama ya usafiri uliolipia. maana yake ni kwamba...
  2. K

    Kufanya mauzo makubwa sio kupata faida

    hiki kitu hua nakipinga kwa hasira sana. yani unafanya biashara alafu haitakiwi uguse hata sumuni ya kula kwamba itafilisika. maana yake iyo biashara haiwezi kukulisha wewe na familia yako, sasa kwanini ufanye biashara ambayo haiwezi kukuhudumia?
  3. K

    Biashara ya Mafuta ya kula yaliyotumika

    nafikiri hua ni oil za magari na mashine mbali mbali sidhani kama hua ni mafuta ya kula unless kama kuna mtu ana ufahamu zaidi
  4. K

    Mada kuu: Matambiko

    lkn ukifatilia historia ya uanzishwaji wa dini ya kikristo naweza kukubaliana na mwandishi. yesu alikuwa ni myahudi, je wanaomfuata yesu kwanini sio wayahudi kama yesu? walianzisha dini inayoitwa ukristo wanadai wanaishi na kufuata miiko ya yesu, je kwanini hawafuati dini yake? swala...
  5. K

    Mmea huu ni kiboko kwa wote wenye ndonda na bawasili

    kaka mimi nilijaribu kuutafuna wenyewe na nlipona ndani ya siku tatu tu. ni mchungu ila kula mpaka kinyesi kigeuke rangi alafu acha. ila uzuri siku ya kwanza tu unaona mabadiliko. lkn kujidunga naskia ni chap kwa haraka hata saa moja humalizi maumivu yanaisha
  6. K

    Vinauzwaaa dar

    Iyo sabufer inaruhusu bluetooth?
  7. K

    Furniture used

    Msaada tafadhari kwa yeyote mwenye office table au anaejua mahala naweza pata kwa bei isiozidi 80000 anisaidie Pia kama kuna mtu anauza kitanda anaweza nitext inbox tafadhari
Back
Top Bottom