Msishangae wakuu wa majeshi wakapanga safari kukimbia kesi ya Lissu. Watasema wamesafiri kikazi! siku kumi na nne za kesi zikiisha wajipe muda zaidi maana hawataweza kujibu maswali
Huyu Mama ndiyo nataka wakati huu ajue kabisa anataka kuacha nini cha kumkumbuka. Mimi simsemi natoa facts tu hapa na kumpa ndondo za kumsaidia yeye na nchi. Machawa ndiyo wamemfikisha hapa. Sijawahi kuona wanaume wanapiga magoti kutoa pole kama wakati huu. Uchawa unaweza kumfanya mtu awe kama...
Mama Samia jitathmini unaoenekana kuchanganyikiwa!.
Uoga uliopitiliza huwaamini hata VP wako? Kiasi cha kuwaweka kizuizini kama Nchimbi. Je unafikiri Deo anajali chochote au yupo tofauti au kwabababu ni mpigaji mzuri aka mla rushwa atakaa hapo kama biashara tu na kufuata upepo.
Lakini sasa...
Huyu mbaya wako ambaye umemfunga kwa mwaka leo siku yake ya kumbukumbu ya kunusurika jaribio la kumuua na kushindikana ndiyo Mpendwa wako Mungu kamchukuwa.
Hivyo Mungu tarehe ya leo aliamua mmoja aishi na mwingine amemchukuwa.
Sasa huo wizi, utekaji, rushwa yote ya nini Mungu pekee ndiye...
Marafiki zangu ambao wana kampuni za ujenzi wanasema kila kampuni ninlazima zitoe 10% kwenye kila mradi. Lakini pesa ikichelewa kuna riba🤦🏾♂️
Umasikini na wetu ni huu uongozi fake unaleta
Tatizo letu hatufuati sheria. Kama Mama anataka kumnuonga amnyonge tu Lissu hawezi kupigia magoti mtu. Vilevile Lissu hajamuomba mtu yeyote kumuombea msamaha. Moaka UN wameshaongea sasa mnafikiri Chadema watafanya huu ujinga.
Mama si katili aende kumnyonga aone nchi itaenda wapi. Kila mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.