Recent content by Kamundu

  1. K

    JamiiForums Tanzania Msishangae wakuu wa majeshi wakapanga safari kukimbia kesi

    Msishangae wakuu wa majeshi wakapanga safari kukimbia kesi ya Lissu. Watasema wamesafiri kikazi! siku kumi na nne za kesi zikiisha wajipe muda zaidi maana hawataweza kujibu maswali
  2. K

    JamiiForums Tanzania Mama Samia jitathmini unaoenekana haupo sawa kabisa. Uoga uliopitiliza huwaamini hata VP wako?

    Huyu Mama ndiyo nataka wakati huu ajue kabisa anataka kuacha nini cha kumkumbuka. Mimi simsemi natoa facts tu hapa na kumpa ndondo za kumsaidia yeye na nchi. Machawa ndiyo wamemfikisha hapa. Sijawahi kuona wanaume wanapiga magoti kutoa pole kama wakati huu. Uchawa unaweza kumfanya mtu awe kama...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Mama Samia jitathmini unaoenekana haupo sawa kabisa. Uoga uliopitiliza huwaamini hata VP wako?

    Mama Samia jitathmini unaoenekana kuchanganyikiwa!. Uoga uliopitiliza huwaamini hata VP wako? Kiasi cha kuwaweka kizuizini kama Nchimbi. Je unafikiri Deo anajali chochote au yupo tofauti au kwabababu ni mpigaji mzuri aka mla rushwa atakaa hapo kama biashara tu na kufuata upepo. Lakini sasa...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Pole Mama. Tulikuambia ukimnyanyasa Lissu nuksi hazitaisha

    Sasa Mama atapigwa ndugu zake Mungu atawapenda zaidi Msoga naye wa bagamoyo anasubiri tu Acheni unyanyasaji tubuni kwa Mungu bila hivyo mtakwisha
  5. K

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Kikwete
  6. K

    JamiiForums Tanzania Waziri mkuu ashiriki maziko ya mhe. Hafidh Ameir Hassan

    Kikwete anafikiri kuongeza mke hapo
  7. K

    JamiiForums Tanzania Hafidh Ameir Hassan, Mume wa Samia Suluhu Hassan, Tushamfukia tayari.. Amekufa mapema

    Deo Chawa🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️
  8. K

    JamiiForums Tanzania Tarehe ya Lissu kupigwa risasi ndiyo Mume kaondoka!! ? Jitafakari ujumbe

    Huyu mbaya wako ambaye umemfunga kwa mwaka leo siku yake ya kumbukumbu ya kunusurika jaribio la kumuua na kushindikana ndiyo Mpendwa wako Mungu kamchukuwa. Hivyo Mungu tarehe ya leo aliamua mmoja aishi na mwingine amemchukuwa. Sasa huo wizi, utekaji, rushwa yote ya nini Mungu pekee ndiye...
  9. K

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Tunashukuru Mungu Warioba yupo mafisadi polepole watupishe
  10. K

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Tunashukuru Warioba yupo Tunashukuru
  11. K

    JamiiForums Tanzania Mume wa Rais Samia azikwa Kizimkazi, Zanzibar

    Si alisema wakati wa kibao kifo ni kifo tutoleeni hapa wezi wa kura
  12. K

    JamiiForums Tanzania Nchi ya rushwa: kila tenda ya barabara ni 10% inatoka!

    Marafiki zangu ambao wana kampuni za ujenzi wanasema kila kampuni ninlazima zitoe 10% kwenye kila mradi. Lakini pesa ikichelewa kuna riba🤦🏾‍♂️ Umasikini na wetu ni huu uongozi fake unaleta
  13. K

    JamiiForums Tanzania Tanzania itajengwa na wachina

    Wanatoa 10%
  14. K

    JamiiForums Tanzania Kombo: Tundu Lissu anakwenda kunyongwa, CHADEMA kapigeni goti kwa Rais Samia

    Tatizo letu hatufuati sheria. Kama Mama anataka kumnuonga amnyonge tu Lissu hawezi kupigia magoti mtu. Vilevile Lissu hajamuomba mtu yeyote kumuombea msamaha. Moaka UN wameshaongea sasa mnafikiri Chadema watafanya huu ujinga. Mama si katili aende kumnyonga aone nchi itaenda wapi. Kila mtu...
Back
Top Bottom