Recent content by Kamundu

  1. K

    Tatizo la ripoti ya CAG: Watekelezaji wanapata madaraka kwa wizi, leo eti tuwaamini kutekeleza

    Mama Samia anaona kama anapotezewa muda tu kwasababu anachofikiria ni makusanyo ya pesa ili wapige deal na marafiki na ndugu zake! Mfano deal ya Kia na miradi mingi. Hakuna hata nia ya kupambana na rushwa. Wizi wa kura, utekaji, uzuiaji wa wapinzani yote haya yanaonyesha hatuna wazalendo...
  2. K

    Kati ya Bwege na Lukuvi nani alikuwa mzalendo?

    Kati ya Bwege na Lukuvi nani alikuwa fisadi? Jibu tunalo wengi ni Bwege pamoja na shida zake alikuwa Mzalendo na tutamkumbuka kwa hilo. Hajauza nafsi yake kwa pesa. Huyu Bwege alikuwa Mzalendo kweli
  3. K

    CAG: Mradi wa ujenzi wa Uwanja Arusha ulikadiriwa bilioni 187, mkataba ukasainiwa bilioni 338

    Sasa tunasikia Mama anawapa waarabu airport baada ya kutumia mabilioni! tena ya wizi
  4. K

    Rais Samia Ni Makamu Mwenyekiti Wa Umoja Wa Afrika. Afrika inakwenda Kuheshimika Duniani Kote na Kuwa na Sauti ya Mamlaka

    Takataka tupu mtu anaiba Kura kitoto anaogopa kila mtu 🤦🏾‍♂️😂😂😂 hadi mpina Lissu yupo jela wewe unatuletea mavi hapa🤮
  5. K

    Namuunga mkono Rais Samia kwa kumpongeza na kummiminia sifa Paroko kwa kuendesha Ibada ya kumuaga Lukuvi kwa Nidhamu. Padre Charles Kitima ajifunze

    Nendeni kwa basata yenu tuachie wakatoliki na dini yetu. Kwa dini yetu Mama ni kama shetani maana ameuwa na hajatubu
  6. K

    Serikali hatujali misiba yenu ya viongozi Mafisadi Watanzania wanataka haki na uhuru

    Serikali mnataka kulazimisha Watanzania wote tuache kazi na kusikitika nanyi kupoteza marafiki wenu lakini watanzania wengi hatuna muda tunataka democracy na katiba mpya. Hatuta waonea huruma viongozi walio ingia kwa wizi wa kura, kunyanyasa watanzania masikini, kuunga mkono mafisadi wakati...
  7. K

    Ukosekanaji wa katiba chanzo cha mauaji Oct 29

    Nasikitika bro P unamuamini huyu Mama . Si mkweli! Angekuwa mkweli tusingefika hapa
  8. K

    Ukosekanaji wa katiba chanzo cha mauaji Oct 29

    Huo ndio ukweli na bila katiba mpya wengi watapoteza maisha maana bila kuondoa haya majanga yaliyopo ya katiba mbaya tusubiri mabaya tu
  9. K

    Eti George Sanga kasaliti mabadiliko. Kajiunga CHAUMMA

    Machawa wanaongea kutoka nyuma
  10. K

    Vijana muwe makini: Msije kuondoka Duniani na miaka 70! kama machawa

    Vijana muwe makini: Msije kuondoka Duniani na miaka 70! kama machawa. Ishi kwa kutenda kazi na kutetea maendeleo
  11. K

    Tamaa za madaraka mpaka mtu anafia madarakani tena kwa kuiba kura!

    Mtu unatamaa ya madaraka mpaka unaiba kura halafu unakufa kabla ya hata kustaafu. Maisha ni mafupi unaiba kura na miaka 70! Eti halafu hujapumzika hata na familia yako. Ufisadi wote na wizi wote hauendi nao popote. Hayo ndiyo maisha tendeni haki, acheni katiba bora kwa watanzania na sio...
  12. K

    Ufanyike uchunguzi wa kina na wa sirisiri kwa viongozi wanaokufa ghafla

    Viongozi wenyewe wameiba kura kama nilivyo kuambia mwaka jana Mungu atawatanguliza wote. Kuna Machawa nao wengi wanaondoka tunashukuru kwa hilo
Back
Top Bottom