Recent content by Kamundu

  1. K

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Ni Jasusi Mbobevu na Ndio Maana Amekuwa na Utulivu Mkubwa Wa Ulimi Kabla ya Kufanya Maamuzi na Kutoa Maneno Kinywani Mwake

    Huyu Mama anashindwa kuongea hata na watoto! Mama rojo ni mzigo wewe
  2. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Rasimu ya katiba iandikwe na wataalamu ambao hawana chama. Hata kama wanatoka nje

    Ushauri: Rasimu ya katiba iandikwe na wataalamu ambao hawana chama. Hata kama wanatoka nje. Maoni yakisha kusanywa wataalamu pekee ndiyo waandike sio makada wala Bunge fake la katiba. Bunge la katiba nalo ambalo sio ya kivyama ipigie kura bila mabadilisho . Tukifanya kama wakati wa Kikwete...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Je wale CCM walio zuia katiba mpya wakati wa Kikwete ni wazalendo nao?

    Je wale CCM walio zuia katiba mpya wakati wa kikwete ni wazalendo nao?
  4. K

    JamiiForums Tanzania Rai kwa Rais Samia: Toa Kijiti cha Katiba Mpya Sasa

    CHURA KIZIWI
  5. K

    JamiiForums Tanzania CCM mkipigana kuzuia upinzani ipo siku IGP atakuwa na nguvu kuliko mwenyekiti wenu!

    Mnaweza kufanya jitihada za kuzuia upinzani kwa kila njia ili tu wasipate wawakilishi ingiwa wanakubaliwa lakini mjiulize je mpo tayari chama chenu kikategemea kupata maagizo kutoka kwa IGP. Maana itafika sehemu mtakuwa mnategemea Polisi kwa kila kitu na IGP atagundua ana nguvu kuliko hata...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Kwa sasa Nchimbi anasikilizwa kuliko Mama Rojo

    Nchimbi amekataa kubaki bench badala yake kaingia uwanjani na mchezaji ambaye sio mzuri Mama rojo sasa kamaki anatembea tu uwanjani lakini hawezi tena kucheza. Anategemea marefa tu ambao ni jeshi na polisi. Mama rojo hata mwaka mmoja bado yuko chali
  7. K

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi lipige marufuku na kuzuia mkusanyiko unaotaka kufanywa na BAVICHA mkoani Dodoma tarehe 12 Agosti kutokana na kuwa na viashiria vibaya

    Machawa hamtaweza kuzuia uhuru na demokrasia Tanzania. Tanzania sio Rwanda au Uganda. Watanzania wanataka democracy kama wenzao wa Kenya ambao jamii zao ndiyo zimefanana. Hamtafanikiwa. Na siku zinakuja hao Polisi na vyombo vya ulinzi vitawageuka
  8. K

    JamiiForums Tanzania Tumuombe Mungu: CCM ni kama laana kwa Tanzania

    Tujifikirishe kidogo kwa nini Tanzania ni nchi masikini kwa kiasi hiki kuliko hata Kenya pamoja na rasilimali zake zote hizi. Tatizo ni utaratibu mbovu wa utawala wetu aka katiba mbaya. Katiba mbaya ni kwasababu ya CCM na walarushwa! Sasa mnao unga mkono huu mfumo ni sawa na watumwa wanao...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Mchengerwa: Ipo siku Watanzania mtamkumbuka Rais Samia

    Hatuwezi kumsahau kwa mauaji yake na utekaji
  10. K

    JamiiForums Tanzania CCM imeshazidiwa na dola bila katiba mpya hata CCM itabaki jina tu

    https://youtu.be/z52sggSmmt4?is=bLgaKC-9ez0ICTXS
  11. K

    JamiiForums Tanzania Jeshi linatakiwa nalo lisaidie mahitaji ya katiba mpya

    https://youtu.be/z52sggSmmt4?is=bLgaKC-9ez0ICTXS
  12. K

    JamiiForums Tanzania Ukosekanaji wa katiba chanzo cha mauaji Oct 29

    https://youtu.be/z52sggSmmt4?is=bLgaKC-9ez0ICTXS
  13. K

    JamiiForums Tanzania Tanzania haitakuwa moja mpaka katiba mpya tena nzuri

    https://youtu.be/z52sggSmmt4?is=bLgaKC-9ez0ICTXS
Back
Top Bottom