Tusibiri ushahidi kwa maono ya watalaamu kesi za mauaji zinamuhusu. Na acha kudanganya na Mama yako Muuaji. Alisema apewe ripoti ya mauaji ya Kibao ripoti iko wapi wewe ladyboy
Rostam na wafanyabiashara wengine kaeni mbali na CCM ! mtafilisiwa. Msifikirie kuficha pesa uarabuni inasaidia wale ni vibaraka wa USA karibu wote. Mkihusishwa na CCM na majanga ya mauaji hakuna atakae taka kufanya biashara na ninyi
Lissu kashindikana mafisadi watajaribu kila njia . Asiamini hata watu ndani ya Chadema. Hawawezi kumshinda kwa hoja, kukubalika kwenye jamii, akili, kutokuwa fisadi, na kujitoa muhanga.
Hivyo wanajaribu kumuuwa mtu ambaye maisha yake yote anapigania haki
Pamoja na wauaji kulipa $45,000 kila mwezi kusaidia sera ziwe rafiki ya wauaji wetu bado imegoma. Hongera kwa wakina Libe , Katili na Fue kwa kazi kubwa ya kuongea na Ma senator wa Marekani kuwabana wauaji
https://youtu.be/fTYTOrlEuII?si=joVskuuIwX_yFzPf
Hongera sana kwa Watanzania wenzetu wazalendo walioenda kuongea na hawa ma senator kuhusu Tanzania. Hawa ndiyo wazalendo wa kweli ! lazima tupambane na wezi na wauaji
Kilichotokea kwa Urusi marafiki wote wa Putin mali zao za mabilioni zimetaifishwa ulaya na USA. Yaani sio tu pesa zinachukuliwa bali zinatumika mfano zile pesa zote zimeenda kununua silaha huko Ukraine
Ni wazi sasa kiongozi wa watekaji anaitwa Mafwete ambaye ni Polisi na yeye ndiye aliyeenda kumchukua Polepole eti leo anasema anafanya msako wa kutafuta na kubaini walio mshambulia msaidizi wa Lissu wakati yeye ndiye kiongozi wa genge! Yeye ajui wenzake hao mafisadi watakimbilia Oman na Dubai...
Kwa wanaopenda Tanzania tuko katika wakati mgumu sana kama nchi . Washauri wabaya na uvivu na kujiachia kizanzibari sasa Mama ambaye alikuwa maua yenye harufu nzuri 2021-2022 sasa maua yamekufa kabisa ni lazima yaote upya au tuoteshe mengine. Haya maua ni too late sasa
Yaani unaenda kuteka ma houseboy wa viongozi wajinga jinga upinzani kumtisha nani! Usalama badala ya kufanya kazi wanashinda kuvuzia
Mpaka ma house boys. Mama ananufaika na nini hasa?
Mnawasaidia sana wenye kesi za mauaji huko
Hakuna haja ya kuwa na chombo ambacho ni chanzo cha migogoro kila siku. Rushwa, kuzuia demokrasia, kupendelea CCM na kujipa cheo cha mahakama hakuna sababu ya kuwa na hii idara ya kijinga jinga hivi. Kutafutwe kitengo cha mahakama cha kusajili vyama na msimamizi
Awe sheria sio viongozi wajinga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.