Recent content by Kamundu

  1. K

    JamiiForums Tanzania IGP Mstaafu Mahita: Jeshi la Polisi la Sasa linaingiliwa na Wanasiasa

    "A shit is a shit that's all "
  2. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia Hajawahi kuua Mtu wala Kutoa Maagizo ya Kuua Mtu Yeyote yule

    Tusibiri ushahidi kwa maono ya watalaamu kesi za mauaji zinamuhusu. Na acha kudanganya na Mama yako Muuaji. Alisema apewe ripoti ya mauaji ya Kibao ripoti iko wapi wewe ladyboy
  3. K

    JamiiForums Tanzania Rostam na wafanyabiashara wengine kaeni mbali na CCM ! mtafilisiwa

    Rostam na wafanyabiashara wengine kaeni mbali na CCM ! mtafilisiwa. Msifikirie kuficha pesa uarabuni inasaidia wale ni vibaraka wa USA karibu wote. Mkihusishwa na CCM na majanga ya mauaji hakuna atakae taka kufanya biashara na ninyi
  4. K

    JamiiForums Tanzania Lissu kashindikana na mafisadi Asiamini hata watu ndani ya Chadema

    Naongelea future sio past. Kuna watu wana mpango huo na sio wa juu serikalini ni hawa machawa machawa tu kwa kujipendekeza.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Lissu kashindikana na mafisadi Asiamini hata watu ndani ya Chadema

    Lissu kashindikana mafisadi watajaribu kila njia . Asiamini hata watu ndani ya Chadema. Hawawezi kumshinda kwa hoja, kukubalika kwenye jamii, akili, kutokuwa fisadi, na kujitoa muhanga. Hivyo wanajaribu kumuuwa mtu ambaye maisha yake yote anapigania haki
  6. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maseneta wapendekeza mageuzi makubwa katika uhusiano kati ya Marekani na Tanzania, kufuatia ukatili uliotokea Oktoba 29

    Pamoja na wauaji kulipa $45,000 kila mwezi kusaidia sera ziwe rafiki ya wauaji wetu bado imegoma. Hongera kwa wakina Libe , Katili na Fue kwa kazi kubwa ya kuongea na Ma senator wa Marekani kuwabana wauaji https://youtu.be/fTYTOrlEuII?si=joVskuuIwX_yFzPf
  7. K

    JamiiForums Tanzania Kutakuwa na kilio na kusaga meno Kama Donald Trump atasaini Muswada wa Ted Cruz

    Hongera sana kwa Watanzania wenzetu wazalendo walioenda kuongea na hawa ma senator kuhusu Tanzania. Hawa ndiyo wazalendo wa kweli ! lazima tupambane na wezi na wauaji
  8. K

    JamiiForums Tanzania Samia kutoswa na Kundi ambalo halikuhusika na Mauaji Wala Utekaji, ila Lina Mali na Fedha zake US na Ulaya .. Tayari Hawaruhusiwi Kuhamisha Fedha zao.

    Kilichotokea kwa Urusi marafiki wote wa Putin mali zao za mabilioni zimetaifishwa ulaya na USA. Yaani sio tu pesa zinachukuliwa bali zinatumika mfano zile pesa zote zimeenda kununua silaha huko Ukraine
  9. K

    JamiiForums Tanzania Mafwele atangaza msako kutafuta watu aliyo watuma yeye !!

    Ni wazi sasa kiongozi wa watekaji anaitwa Mafwete ambaye ni Polisi na yeye ndiye aliyeenda kumchukua Polepole eti leo anasema anafanya msako wa kutafuta na kubaini walio mshambulia msaidizi wa Lissu wakati yeye ndiye kiongozi wa genge! Yeye ajui wenzake hao mafisadi watakimbilia Oman na Dubai...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Mama 2021 Maua mazuri sasa 2026 yamekauka

    Kwa wanaopenda Tanzania tuko katika wakati mgumu sana kama nchi . Washauri wabaya na uvivu na kujiachia kizanzibari sasa Mama ambaye alikuwa maua yenye harufu nzuri 2021-2022 sasa maua yamekufa kabisa ni lazima yaote upya au tuoteshe mengine. Haya maua ni too late sasa
  11. K

    JamiiForums Tanzania Machawa: Kumteka house boy kunamsaidia vipi Mama

    Yaani unaenda kuteka ma houseboy wa viongozi wajinga jinga upinzani kumtisha nani! Usalama badala ya kufanya kazi wanashinda kuvuzia Mpaka ma house boys. Mama ananufaika na nini hasa? Mnawasaidia sana wenye kesi za mauaji huko
  12. K

    JamiiForums Tanzania Hakuna alie tekwa pale, ni pure drama, yaani ni utekaji bandia

    Wanzabari wafir*j* wanateka watanganyika Mnaona ni sifa
  13. K

    JamiiForums Tanzania Hakuna haja ya Msajili wa vyama siasa tena

    Hakuna haja ya kuwa na chombo ambacho ni chanzo cha migogoro kila siku. Rushwa, kuzuia demokrasia, kupendelea CCM na kujipa cheo cha mahakama hakuna sababu ya kuwa na hii idara ya kijinga jinga hivi. Kutafutwe kitengo cha mahakama cha kusajili vyama na msimamizi Awe sheria sio viongozi wajinga...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Polisi wamekuwa wazugaji

    Watekaji Polisi watafutaji polisi🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️ Watanzania sio wajinga wakasanganye Machawa
  15. K

    JamiiForums Tanzania Samia ni Mama, hakuwaua watoto wenu. Mungu huwachukua watu sugu wa aina flani kwa njia flani

    Mama wa Abdul mtekaji sio Mama yako
Back
Top Bottom