Hivi viongozi wetu wako sawasawa kweli? Zaidi ya vikao sijaona kikubwa walichofanya kuondoa mgawanyiko uliopo. Tahadhari tu jamani: mgonjwa anapong'ang'ana kusema haumwi ilihali anadalili zote za maradhi na hali yake inazidi kuwa tete muandalie jeneza tu kwa sababu hana tofauti na aliyekata...
Nguzo kuu ya taifa lolote duniani ni watu, na wao ndio wanaopaswa kutoa maamuzi ya mwisho kuhusiana na maswala yanayohusu taifa lao. ni taratibu nzuri kwa watu kuchagua wawakilishi wanaoamini watapaza sauti kwa niaba yao na kutoa maamuzi yatakayonufaisha taifa kiujumla.
Bunge ndio muhimili wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.