Recent content by KALOKAGATHOS

  1. KALOKAGATHOS

    Msafara wa Wavuvi 40,historia ya Wajaluo Tanzania.

    Kundi la wanaumme 40 lilifika katika fukwe za ziwa victoria huko Musoma Mara miaka ya 1800s,walipowasili walikuta wajita,waruri,wakabwa,wazanaki na wakaya wanetapakaa na kushika maeneo mengi ya Musoma,walipigana vita vikali ampapo walipoona wanazidiwa nguvu kwa sababu ya uchache wao,walikimbia...
  2. KALOKAGATHOS

    Msafara wa Wavuvi 40,historia ya Wajaluo Tanzania.

    Wajaluo [Jo-Luo] hapa Tanzania ni zao la watu 40 tu waliopiga makasia kutoka Nyanza Kenya mpaka Musoma.Historia inasema kwamba wajaluo wametokea ASIA MINOR,Abraham alioa mke mwingine baada ya kifo cha mkewe SARA,ikumbukwe kuwa kabla ya kumzaa Isaka,Abraham alizaa na mjakazi wake wakapata mtoto...
  3. KALOKAGATHOS

    HESLB pesa za mikopo zinatumika Dodoma.

    Kugoma,kuacha kuingia darasani,kuandamana,kujinyonga,kurudi nyumbani,kuuza vitu vya ndani,kuwa chizi,kubomoa benki au kuwapiga mawe viongozi wa chuo ni baadhi ya mambo ya kufanya ili kuhakikisha tunapata mikopo yetu kama ilivyo kawaida,haijalishi kwa njia gani au kwa hali gani,hata kama utaipata...
  4. KALOKAGATHOS

    TEKU madarasa na viti havitoshi

    Tumesema tumechokaaaaaaaaaaaa!!,ukikaa kimya unaumia mwenyewe,ukiongea......what,what,what,what,what,what!!!
  5. KALOKAGATHOS

    TEKU madarasa na viti havitoshi

    TEKU bila TEKU HALL,LIBRARY,HEKIMA,AMANI na UZIMA HOSTEL ni majanga makubwa!,kumbi kama za SIMWANZA na MWAKASYUKA hazifai kwa maana kuna muingiliano wa mwangwi,wahadhiri wamegoma kutumia vipaza sauti kisa hawajazoea vitu kama hivyo,semina rooms zinavuja,kama mvua inanyesha mambo si mazuri,viti...
  6. KALOKAGATHOS

    Mwalimu apachikwa mimba na mwanafunzi

    Imezoeleka kuwa waalimu wa kiume ndiyo huwapachika wanafunzi wa kike mimba,lakini hali imekuwa tofauti kwa mwalimu huyu (jina limehifadhiwa)wa shule ya secondary Mwakibete hapa jijini Mbeya.huyu mwalimu kahamia shuleni hapa siku si nyingi kutokea shule flani hapahapa Mbeya.kuna walimu wengi wa...
  7. KALOKAGATHOS

    TEKEU hakuna wahadhiri wa history,Waalimu kutoka Secondary kufundisha chuo kikuu.

    PAROKO inaonekana umekomaa kiakili,wewe unaweza ukawa na uchungu na elimu ya bongo,pamoja saana
  8. KALOKAGATHOS

    TEKEU hakuna wahadhiri wa history,Waalimu kutoka Secondary kufundisha chuo kikuu.

    We utakuwa umelewa tena Pombe za kienyeji,ni mwalimu yupi mwenye masters anafundisha Primary? sidhani kama hata hiyo Masters unaifahamu,by the way,wewe umefikia darasa la ngapi?
  9. KALOKAGATHOS

    TEKEU hakuna wahadhiri wa history,Waalimu kutoka Secondary kufundisha chuo kikuu.

    Bora hao wamejiendeleza,nani kakwambia kuwa hawa wa Teku nao wamejiendeleza?
  10. KALOKAGATHOS

    TEKEU hakuna wahadhiri wa history,Waalimu kutoka Secondary kufundisha chuo kikuu.

    Jamani mpaka nimeandika makala haya nina uhakika,mnabishia wakati mimi nawajua mwanzo mwisho?, Wahadhiri wa ukweli wameondoka kisa Teku imeshindwa kuwalipa mshahara wafanyakazi wake. DVCAA ana majungu kama nini,kuna Walimu wengine tulikuwa nao TP mwaka jana,huko mashuleni kwao ni majanga,kwanza...
  11. KALOKAGATHOS

    TEKEU hakuna wahadhiri wa history,Waalimu kutoka Secondary kufundisha chuo kikuu.

    Hali ni mbaya saana hususan kwa mwaka wa pili, course kama THT 453 na THT 454 mambo hayaeleweki,kama imefikia hatua ya kuchukua waalimu wa sekondari kufundisha chuo kikuu mbona majanga? kuna mwalimu mmoja anafundisha Sinde Secondary form III Literature, eti anafundisha TEKU,chuo kikuu...
  12. KALOKAGATHOS

    Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri - Jan 19, 2014

    Duh!!!!!!!!!!!, wizara ya Elimu mbona mambo hayako sawa?, Kikwete kwani haya mambo huyaoni? mbona naye ni MZIGO?
  13. KALOKAGATHOS

    BIG RESULTS NOW: Tanzania iache kukopi wasiyoweza kupest

    Hayo ndo maneno kijana,TOTOZ,SHOPING,GIFTS ndo zinawakimbiza viongozi wa TZ huko nje,hawana uwezo wa kubuni mambo yanayoendana na uzito wa nchi yao!,kuiga mpaka lini? Wanaharakati mnasemaje?,tuendelee kuiga au tutengeneze yetu? kwani madhara ya Ujamaa yakoje? kila kitu tuliiga kwa wachina,tukawa...
  14. KALOKAGATHOS

    BIG RESULTS NOW: Tanzania iache kukopi wasiyoweza kupest

    Bora ukasome kwanza wewe mwenyewe ndo uje ucomment,unadhani hayo nimeyaokota? Au nimekugusa? We fisadi au?
Back
Top Bottom