Kila mahali pana utaratibu wake, na hivyo hivyo unapokuwa chuoni sitarajii kila kitu kitakwenda vile unavyotaka. Hivyo ushauri wangu, wahusika wawasiliane na uongozi unaohusika kuwapangia mabweni ambao wako kwenye kila bweni kujua sababu za kuhamishwa ili kutafuta muafaka kabla ya kuanza...
Inawezekana kuhama kozi mradi tu uwe na sifa za kuhamia kozi unayotaka na iwepo nafasi. cha kufanya unaandika barua ya kuomba kuhama kozi na kuiwasilisha kwenye Ndaki/Shule Kuu au Taasisi husika ukiwa chuoni. Utajibiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.