Niliwahi kuandika humu kusiana na rafiki yangu mmoja ambaye ni mtendaji wa mlandege & mumewe alikuwa mwalimu wa Tagamenda sekondari. Kwa kweli rafiki yangu alikuwa anamnyanyasa sana mmewe na kila aliemshauri alimjengea chuki.
Rafiki yangu huyu hakutosheka kumuweka mumewe ndani tu mara kadhaa...
UP DATE,HATIMAE MAHAKAMA YAAMUA KUVUNJA NDOA YA SHOSTI WANGU.MAHAKAMA IMEAMURU NYUMBA IUZWE MWANAUME ACHUKUE ASILIMIA 40,NA MKE ASLIMIA 60 LICHA YA MUME KUWA NA MKOPO ALIOKOPA KWA AJILI YA UJENZI WA NYUMBA HIYO WATOTO WOTE WAWILI WABAKI NA MAMA .KWELI HUYU BABA ANAKOMOLEWA.BABA AMEOMBA NYUMBA...
Niliyoyakuta kwakweli wanawake Susi Mungu anatuona. MAHAKAMA imeivunja hii ndoa shosti kakabidhiwa watoto wote wawili wa kiume nyumba na thamani za ndani zigawiwe 60/40 yaani mwanamke achukue asilimia 60.
Kwa hukumu hizi wanaume Kazi mnayo.
Kwa tetesi zilizopo ni kwamba hii nyumba anataka...
Nimerudi kutoka Znz nimeyakuta Hays mambo mpaka nimeishiwa kwakweli.Yetu macho tumeshauri lakini imeshindikana .Neno langu kwenu nyote muwakumbuke watoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.