Kias hiki hadi kugusa masilah ya chama? wambie wanachama ukweli maana ukificha sana ukwel kuna siku utafichuka, why are you always at loggerhead Helen mbey Vs Ezekiah Oluoch? hayo yenu malizen nje ya chama na hata msipokuwepo ndan ya chama kitaendelea tu kwani ninyi ni nani bwana?
Naomba...
Naibu katbu mkuu Oluoch, tumesoma whatsup ujumbe ulotuma kwa kamat tendaji na zile umerusha kwa makatbu wa mikoa, shida ni kwamba husemi ukweli, hivi unafikir Helen mbezi anaweza kwenda tu kichwa kichwa akaongea na polisi ambao ni kichwa kichwa Morogoro, osterbay, au pale dsm central?
Ni...
Mkuu haki kwanza
nimefurahishwa sana na ujumbe wako, kwani ni dhahiri kwamba uongozi wa CWT taifa kwa nafasi ya Naibu Katibu ni uozoooooooooooo mtupu hajitambui kabisa mbwembwe tu,
kama sio busara za wachache duhhhhhh tungekuw ana hali mbaya zaidi ya hii tyuliyo nayo sasa ingefanana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.