Biblia ni muongozo wa maisha ya kiroho unaoimarisha uhusiano wa mwanadamu na Mungu. Kunya, kupiga mswaki, kuvaa joho je hayo ni sehemu ya maisha ya kiroho katika kujenga uhusiano na Mungu?
Lakini tunapozungumzia namna ya kuomba, namna ya utoaji nk! Haya yote ni mambo ya kiroho na hakika...
Kuna baadhi ya mafundisho yanaenea katika Ukristo ambayo hayana msingi wowote kwenye Biblia
1. KUAMURU MALAIKA (COMMANDING THE ANGELS)
Kuna baadhi ya watumishi wanafundisha waumini kuamuru Malaika kufanya mambo fulani. Jambo hili ni kinyume kabisa na maandiko kwani Malaika ni watumishi wa...
Habari wana JF
Jobless hapa wa muda mrefu. Hata hivyo nimekua niki-develop various skills ikiwemo audio production na beat making.
Hivi karibuni nimeandaa project (AUDIO) ya dakika 1 ambayo nimejiridhisha kuwa itafaa kama Tangazo la mtandao wa simu wa YAS.
Sijui utaratibu na sifahamu...
Uislamu wenyewe ni aibu tupu mbona. Mbaba wa miaka 50 kuoa mtoto wa miaka 6 na kumlala akiwa na miaka 9 ni aibu tosha. Kuna utetezi wa aina tatu hapa kwa mujibu wa waislam
1: Utamaduni wa kipindi hiko uliruhusu.
2: Aisha alikua kashavunja ungo
3: Watu wa kipindi hiko walikua wanakua haraka...
Habari wana JF,
Hivi ni rahisi kupata kazi serikalini kuliko private sectors? Nimetuma maombi mengi sana sekta binafsi lakini sijawahi kuitwa hata kwenye usaili. Hata hivyo, kazi nyingi nilizo-apply Serikalini nilifanikiwa kuitwa walau kwenye hatua za usaili. Japo sijafanikiwa kupata kazi mpaka...
Tangu tuanze siasa za uchawa nchini, kila kitu kinachonasibiwa ni cha kimaendeleo kinaitwa cha mama. Sasa kwanini wanaCCM wanakunja ndita tukisema hili ni deni la mama?
TANU na ASP vilikua vyama pinzani dhidi ya mkoloni. Kwa andiko lako la leo, Nyerere alikosea kupinga mamlaka za wakoloni maana maandiko yanasema:
"Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana Hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu." Warumi 13:1
Kwa Tanzania...
Kuelekea uchaguzi, kila chama kimetengeneza kauli mbiu yake. CHADEMA wanatembea na NO REFORMS, NO ELECTION. Hawajabadili kauli mbiu yao tangu waitangaze kwa Umma.
Kwa upande mwingine, chama tawala -CCM, timu ya uenezi na itikadi mpaka sasa imebuni kauli mbiu zaidi ya kumi na bado zimekosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.