Nina bata 30 mchanganyiko wa madume na majike lakini majike ni mengi zaidi.
Nawauza wote na Banda lake kama ukihitaji
Madume: 25000 kila moja
Majike;20000 kila moja
Yapo pia majike na vifaranga vyake.
Nipo gongo la mboto.0769846183
Laptop moja ish[QUOTE="Smokey D, post: 30826664, member: 1221 see93" hii nchi ina shida Sana ya ajira..unapata wapi Muda WA kujibu utumbo kama huu? Unakua hupitwi kama juma lukole? Laptop ishauzwa..tuliza tako mtoto WA kiume.
Habari wakuu...Mimi nimekua blogger Kwa miaka minne sasa.
Hapo awali blog yangu ilikua inaitwa sirizaafyabora.blogspot.com baadae nikanunua domain ikawa sirizaafyabora.com
Sasa Mimi sio mtaalamu Sana WA hizi kazi so kwanzia kufungua blog mpk domain nilifanyiwa na watu.
Tatizo ni kwamba...
w
www.sirizaafyabora.info hii ni blog yangu ya afya tangu mwaka 2014 na nimekua nikipokea simu nyingi sana za watu ambao wanahitaji msaada wa ushauri wa kiafya kwa kuwatoza gharama kidogo sana ya ushauri wa kitaalamu.
sasa imefika hatua naona bora nifungue call center ambayo itaajiri doctors...
mimi sina kampuni...lakini idea yangu inahusiana na call center..siko hapa kuomba ushauri kama biashara yangu itafanikiwa au itafeli..shida yangu nikujua gharama ya kuisimamisha call center only.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.