Recent content by Kakuyu

  1. K

    JamiiForums Tanzania Naomba Ushauri wa Kina Kuhusu Kilimo cha Maembe na Minazi

    Thanks Kichakoro..! Nimempata mzee Mkopi na tumewasiliana vizuri.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Naomba Ushauri wa Kina Kuhusu Kilimo cha Maembe na Minazi

    Natumaini nyote hamjambo! Mie naitwa Kakuyu, naomba ushauri mahsusi kutoka kwa waliokwishafanya Kilimo cha Maembe na Minazi. Nina shamba lipo Kisarawe maeneo ya Masaki (Mji Mpya) lenye ukubwa wa Hekari 25. Niko kwenye kigugumizi kuhusu nilime zao gani ili nipate faida maana najua hakuna zao...
Back
Top Bottom