Recent content by Kakondele

  1. Kakondele

    Body la Tata Lp 909 linauzwa

    Body la Tata linauzwa Ni namba D Exchange na Toyota Coaster au Ros a vitu vyote vipo kasoro injini,giabox na propela ndio havipo. Bei Mil 15 Lipo kibaha mkoa wa Pwani mawasiliano 0759399805
  2. Kakondele

    Car4Sale Howo Tipper 380hp

    Ongezeka Trading Co limited Tunakuletea Howo tipper lenye hp 380 (Refubrished) kwa Tzsh mil 130 pamoja na ushuru, Kwa wale wanaohitaji kulipia kwa njia ya installments maelewano yapo. Pia unaweza kuagiza nasi magari ya kichina na mitambo kwa gharama nafuu mapya na used na spea zote za mabasi...
  3. Kakondele

    Car4Sale Nissan Cb31 inauzwa

    kuna dharula ndio maana inatoka kwa bei iyo
  4. Kakondele

    Howo 380hp tipper

    Ongezeka Trading Co limited Tunakuletea Howo tipper lenye hp 380 kwa Tzsh mil 130 pamoja na ushuru, Kwa wale wanaohitaji kulipia kwa njia ya installments maelewano yapo. Pia unaweza kuagiza nasi magari ya kichina na mitambo kwa gharama nafuu mapya na used Mawasiliano zaidi Call,sms au...
  5. Kakondele

    Car4Sale Nissan Cb31 inauzwa

    Basi linauzwa Nissan Cb 31 Namba B Engine Nissan CB31 Haina turbo Gearbox_Gia sita Siti 46 Bei 19,000,000/= Halina tatizo Gari ipo Tanga mjini Call,sms,whatsap 0759399805
  6. Kakondele

    Car4Sale Basi linauzwa, Nissan cb31

    Basi linauzwa Nissan Cb 31 Namba B Engine Nissan CB31 Haina turbo Gearbox_Gia sita Siti 46 Bei 20,000,000/= Halina tatizo Gari ipo Tanga mjini Call, SMS, Whatsap 0759399805
  7. Kakondele

    Wanaotaka Tiketi za mabasi

    hatuna gari huko
  8. Kakondele

    Wanaotaka Tiketi za mabasi

    Geita zipo za jioni, Geita express, mallesas nauli 70,000/=,shabiby luxury laki
  9. Kakondele

    Wanaotaka Tiketi za mabasi

    Nyingine tumeweka fair/nyingine tumeweka za mamlaka
  10. Kakondele

    Wanaotaka Tiketi za mabasi

    imepunguzwa kidogo
  11. Kakondele

    Wanaotaka Tiketi za mabasi

    Kwa mahitaji ya Tiket[emoji2774] ya magari yafuatayo unaweza kuwasiliana nasi na ukahudumiwa kwa haraka zaidi (Call,sms,whatsap +255759399805) 1.SARATOGA LINE Dar_Kigoma nauli 60,000/= kuna gari ya asubui na usiku 2.AIFOLA EXPRESS Dar_Kigoma nauli 60,000/= gari ya usiku 3.NEW FORCE /GOLDEN...
  12. Kakondele

    Basi linauzwa

    Basi linauzwa Scania F310 Namba DP Siti 52 Giabox ya gia sita Changamoto Matairi kufunga cylinder head(ilifunguliwa ili kubadilisha gasket) kuweka busta Bei Tzsh 39,000,000/= Ipo Dar Call,sms,whatsap 0759399805
  13. Kakondele

    Mabasi yanauzwa

    Basi zinauzwa Namba D Injini_Scania F310 Gearbox_scania ya gia 6 Mbele Disc brake Siti_52 Body_Gemilang malaysia Usb charging ports zipo Bei Tzsh 45,000,000/= kwa kila moja Matairi utanunua mwenyewe zipo Dar Call,sms,whatsap 0759399805
  14. Kakondele

    Ajali za mabasi ni janga la kitaifa, serikali yapeni umuhimu stahiki maisha ya wasafiri

    95% ya ajali zinazotokana na mabasi zinasababishwa na uzembe wa madereva wenyewe kama wewe ni mfatiliaji mzuri wa mambo ya barabarani utaelewa hili
Back
Top Bottom