Ni kweli maana hakuna sehemu ilishaandikwa kuwa mm(mengi) ntakufa kwa njia fulan, kifo hakina ahadi na tujifunze na kutambua kuwa kila aliyeumbwa na damu ya Yesu atarudi mavumbin, tunapokosoa njia ya Musaraba ni sawa na kumkufuru Mungu. Hngera muongoza njia shujaa wa busara na hekima kwa...
Na sisi tuliyopo Zanzibar tulalamike kuwa tunatengwa, katika takwimu hizo ni nyazifa zenye mapato mishahara ya kumpeleka Mtoto nje ya nchi miaka 20 kusoma masters, sisi huku Zanzibar hata nyazfa au ngazi yenye maslai ya kumpeleka Mtoto shule za kata hakuna aliyepewa dini tofauti na Muslims!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.