Recent content by Kaka Wanted

  1. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta Frame ya biashara Mwanza

    Habari za wakati huu natafuta frame ya biashara mwanza mjini ambayo kodi yake haitazidi 200,000 kwa mwezi. Je naweza kupata maeneo gani?
  2. K

    JamiiForums Tanzania Changamoto gani ulipitia ukaitatua, ukaamini nikweli kwamba nyakati ngumu hazidumu

    Ushauri wangu. 1.kwenye kidogo unachokipata hata kama ni 1000 jitahidi sehemu itenge kwa ajili ya kurudisha madeni hatari ambayo unaona kabisa ni risk.. angalia namna ya kuweka akiba..lakini pia angalia unapoishi kama kuna vitu havina ulazima sana kwa sasa unaweza kuuza vikupatie pesa ili tu...
Back
Top Bottom