Recent content by kaka lugy

  1. K

    HESLB wameanza kupokea appeals

    wanao appel ni wote,kama haujaridhika na kama umenyimwa kabisa mkopo. mi nimenyimwa kabisa na tayar nime appel na nimeshapeleka fom kwa loan offcer
  2. K

    Kukosa mkopo kwa zaidi ya wanafunzi 28,000 ni janga la kitaifa

    hivi hakuna sehem yoyote inayokopesha wanafunz wa elimu ya juu
  3. K

    Mwanafunzi anapopewa nusu mkopo

    wengine hatuna hata chochote. 54% bado unalalamika !!!! hakika dunia haiko sawa
  4. K

    Wale wa SUA mkopo huu hapa

    sisi wengine cjui lini. Udsm na nyie toeni basi
  5. K

    Niulize Chochote kuhusu DUCE

    sasa kama loanbod inanilipia asilimia 100 na ninahtajika kulipa ada ili kukamilisha usajili, je nikilipa na loanbod wakatoa mkopo wao nitarudishiwa ile niliyolipa?
  6. K

    NACTE waitwika zigo TCU

    nasikia eti tcu wametoa majina zaidi ya 50000 waliochaguliwa kujiunga vyuo vikuu ajabu ni kwamba web page yao haifunguki na ni kweli wameshaachia au ni maneno tu? na kama wameshaachia link gani nitumie ili na mm nione
  7. K

    NACTE waitwika zigo TCU

    mi naona mapuuza bongo kuisha mpaka taifa litubu dhambi ya ubabaishaji na uongo. sasa tusubili lini watamaliza kuondoa hiyo multiselection? UBABAISHAJI SASA BASI!
Back
Top Bottom