sasa kama loanbod inanilipia asilimia 100 na ninahtajika kulipa ada ili kukamilisha usajili, je nikilipa na loanbod wakatoa mkopo wao nitarudishiwa ile niliyolipa?
nasikia eti tcu wametoa majina zaidi ya 50000 waliochaguliwa kujiunga vyuo vikuu ajabu ni kwamba web page yao haifunguki na ni kweli wameshaachia au ni maneno tu? na kama wameshaachia link gani nitumie ili na mm nione
mi naona mapuuza bongo kuisha mpaka taifa litubu dhambi ya ubabaishaji na uongo. sasa tusubili lini watamaliza kuondoa hiyo multiselection? UBABAISHAJI SASA BASI!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.