kwa kweli am 40's na naenjoy kunako sita kwa sita kwa sana kuliko nilivyokuwa 20's! ni sababu unakuwa umetulia, huna mawazo kuwa utabata mimba uzizotarajia n.k !
pole dada, lakini nijuavyo mimi,unatakiwa kupunguza mawazo mengi wakati wa ku do! vuta feelings utafika tu kileleni maromance yawe ya muda si kukurupuka! wataalam watakueleza mengi!
hapo umesema kweli, wanaume wengi wenye kipato chini ya wake zao huwa hawajiamini, muda mwingi wanapenda kuweka power kwa wake zao ili wawakwamishe kuwaona wana kiburi hata kama wako innocent, kwa kweli naona wanaume wenyewe ndio chanzo cha kuyumbisha ndoa kama mke ana kipato zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.