according to sources wamefukuzwa uanachama wa BAVICHA but automatically watakuwa wamefukuzwa uanachama wa chadema since kanuni za chama zinasema ukifukuzwa uanachama wa BAVICHA then unakuwa umefukuzwa uanachama wa Chadema pia.
mkuu umeongea kweli hawa vijana wameona jamii forums ndo sehemu ya kutambulika na kujulikana,badala wajenge chama na kazi zao zipimwe na watu then waamue kama wanafaa au la.
Taarifa nilizopata nikiwa karibu na eneo la Makuyuni zinasema ndugu walikuwa wamzike Nairobi ila Mzee EL ndo ameshawishi aje kuzikiwa Majengo,Arusha taarifa zachinichini zinasema Bwn Diwani alkuwa ni mtu wa kazi na alikuwa akifanya biashhara ile ya Katibu Mkuu wa Gamba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.