Nipeni jibu wana Jamii wenzangu! Ni nini kinachowatembelea wana ndoa siku hizi hatuzithamini tena ndoa zetu? Kuna kituko kimetokea ofisini kwangu leo asubuhi! Mama 1 wa makamo (above 50 I think), amevalia nadhifu kweli kweli na inavyoonekana hana shida ya hela, katinga kwa ofisi mapema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.