Jieshimu akuna chuo kilichi toa wafanya kazi wengi serikalini kama cbe .cbe kilianzishwa mwaka 1967 kwa sheria ya wizara ya viwanda na biashara so mwaka Jana ili Fanya mahafali 49 sasa kijana utasemaje ni chuo cha kata wakati baba wataifa alikianzisha usiwe mjinga!!
Ujambazi kwa sasa umekuwa mkubwa sana labda kutokana na na maisha Kuwamagumu ajira hakuna kwa vijana!KILA kijana anataka awe na Nyumba nzuri gari na mke au Mme mzuri!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.