Recent content by Kahtan Ahmed

  1. Kahtan Ahmed

    JamiiForums Tanzania Makonda akabidhiwe Wizara ya NISHATI

    nina imani unae mwanasheria mzuri wa kutetea ujunga wako
  2. Kahtan Ahmed

    JamiiForums Tanzania Makonda akabidhiwe Wizara ya NISHATI

    Waliowengi wanaweza kua na shaka na utendaji wa Paul Makonda kwenye wizara kama waziri ila trust me mpaka hakuna ambacho kimekosekana kwenye wizara ya NISHATI ila umeme wa uhakika umekua kitendawili. Kwa maoni yangu uwezo wa Makonda unahitajika katika wizara ya NISHATI sababu naamini uwezo wake...
  3. Kahtan Ahmed

    JamiiForums Tanzania Kuna tatizo kubwa la kiutawala wilaya ya masasi

    Imepita miaka mingi wilaya ya masasi imegubikwa na mambo ya hovyo hovyo na hayaondoki kila siku hujirudia na utadhani hakuna viongozi wanaopaswa kutatua kero hizo 1. Umeme, sidhani kama kuna wilaya ambayo inaongoza kwa kukatakata umeme kama masasi 2. Barabara zilizobomolewa kuacha bila...
  4. Kahtan Ahmed

    JamiiForums Tanzania Imekuaje barabara karibia nchi nzima zinabomolewa na kuachwa kwa mda mrefu bila marekebisho

    usinambie kwa tanzania bara hii huko unapoishi hakuna barabara iliofumuliwa ikaachwa tu ila kilio zaidi kipo mtwara asilimia 80 ya barabara zote zimefumuliwa tangu mwezi wa pili na zimeachwa tu mfano watu tunosafiri kutoka masasi songea barabara inavipande vingi vilivyotelekezwa tu
  5. Kahtan Ahmed

    JamiiForums Tanzania Imekuaje barabara karibia nchi nzima zinabomolewa na kuachwa kwa mda mrefu bila marekebisho

    Hii ni Tabia chafu sanna ya kufumua barabara kisha inaachwa zaidi ya miezi sita huku ikiathiri maisha ya watu kwa maradhi ya macho mafua vifua vumbi kali sanna magari kuharibuka kwa mashimo tumerudi miaka nyuma huko. Kwanini kama budget hazijatengwa barabara zifumuliwe? Naendelea kusema...
  6. Kahtan Ahmed

    JamiiForums Tanzania Je, haitoshi kusema Rais Samia ameshindwa kuwa bora sababu ya huduma mbovu ya umeme?

    Sijui ila kwa akili zangu naweza kusema kuwa kama sekta muhimu na mhimili wa maendeleo ya Tanzania TANESCO kushindwa kufikisha malengo ya wananchi ya upatikanaji wa umeme wa uhakika, je, sekta nyingine zina hali gani? Binafsi akili yangu inanituma kusema Rais Samia ameshindwa kwani TANESCO ni...
  7. Kahtan Ahmed

    JamiiForums Tanzania Kelele za Serikali ya mama Samia ni nyingi kuliko maendeleo

    Mbona unajistukia
  8. Kahtan Ahmed

    JamiiForums Tanzania Kelele za Serikali ya mama Samia ni nyingi kuliko maendeleo

    Imefika wakati tupigeni kelele mambo ya ajabu yatokomee 1. Vyombo vya habari vimekuwa na uhuru tu wa kusifia Serikali ya mama Samia pekee ila huwezi kukuta chombo cha habari kikihoji maendeleo ya kijamii kama kukatika katika ya umeme, uhaba wa maji, mafuta, vyakula bei juu, kuadimika kwa dolla...
  9. Kahtan Ahmed

    JamiiForums Tanzania Pesa ya mkulima wa ufuta kimya

    Do world wageni
  10. Kahtan Ahmed

    JamiiForums Tanzania Pesa ya mkulima wa ufuta kimya

    Leo tarehe 26 June 2023 tayar baadhi ya mishahara ya watumishi imeshaanza kumiminika. Ila mkulima wa ufuta aliepeleka mazao ghalani tangia mwezi uliopita kwa mtwara na Lindi hawajaingiziwa pesa zao. Imempasa mkulima kuuza ufuta wake Kwa cash kwa walanguzi. Mkulima wa ufuta inabidi akope ili...
  11. Kahtan Ahmed

    JamiiForums Tanzania Je, tuna uhakika kuwa Usalama wa Taifa ni Wazalendo?

    kwamba wewe ni sniper [emoji3]
  12. Kahtan Ahmed

    JamiiForums Tanzania Je, tuna uhakika kuwa Usalama wa Taifa ni Wazalendo?

    sio kweli wapo watu ambao wana uchungu na hali ilivyo, Ni wazalendo, kama wapo wanaolia sababu simba na yanga kufungwa watakosaje Watakaolia kwa Tanzania kuumia?
  13. Kahtan Ahmed

    JamiiForums Tanzania Je, tuna uhakika kuwa Usalama wa Taifa ni Wazalendo?

    sawa wasiseme haya yanayotokea wao hayawahusu hawayaoni? mfano mdogo ripoti ya cag makosa yanafanyika kwa kiasi kikubwa wao wapo wapi? Great thinkers wanazidiwa akili kuibiwa wazi wazi
Back
Top Bottom