Leo tarehe 26 June 2023 tayar baadhi ya mishahara ya watumishi imeshaanza kumiminika.
Ila mkulima wa ufuta aliepeleka mazao ghalani tangia mwezi uliopita kwa mtwara na Lindi hawajaingiziwa pesa zao.
Imempasa mkulima kuuza ufuta wake Kwa cash kwa walanguzi.
Mkulima wa ufuta inabidi akope ili...
sio kweli wapo watu ambao wana uchungu na hali ilivyo, Ni wazalendo, kama wapo wanaolia sababu simba na yanga kufungwa watakosaje Watakaolia kwa Tanzania kuumia?
sawa wasiseme haya yanayotokea wao hayawahusu hawayaoni? mfano mdogo ripoti ya cag makosa yanafanyika kwa kiasi kikubwa wao wapo wapi? Great thinkers wanazidiwa akili kuibiwa wazi wazi
Kuna mambo nafikiria ikiwa kweli usalama wa Taifa ni wazalaendo wa Tanzania.
Je Usalama wa Taifa hawawezi kudhibiti ufisadi unaofanyika? au na wao wanashiriki?
Je usalama wa taifa hawawezi kuithibiti serikali ikiwa inakwenda kinyume na maadili ya kazi yake au wao ndio serikali
Je usalama wa...
Najiuliza kwanini vyombo vya habari vya Tanzania vinashindwa kuripoti na kufichua uovu wa Serikali ya Tanzania
Kuna Matatizo mengi kama Umeme, Maji, Usalama wa Raia, Huduma mbovu ya Fya, Mfumo mbovu wa elimu, Ufisadi kwanini hawayasemi na kutakemea inamaana hayapo?
Ni dhahiri kua wanaogopa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.